Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula na kushiba lakini?Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.
Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.
Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.
Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.
Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Whatever but someone is mentally damaged 😁😁😁What types
Mania
Schizophrenia
Delusion
Illusion or
Hallucination
Delusion of Grandeur/nihillistic
Whatever but someone is mentally damaged [emoji16][emoji16][emoji16]
Goli 7 zimewauma sana baadhi ya wapumbavu,wenyewe Horoya wamekubali kipigo,gongowaz mla mihogo anakosoa uumbaji wa magoli waliojaaliwa Simba na Maulana huku awali walivyofungwa 3 na raja mlifurahia mkijua ndio underdog
Pumbaaaafu
Duh! 🤨🤨🤨 Utopoloni Kuna kazi[emoji16][emoji16]mentally damaged causes by what masta space occupying lession, Stress, infection, family history or Depression/burnout from footaball
Ila kwanini tulitaka kuchoma uwanja wa watu siku ile assume moto ungesambaa ule si tungechoma south nzima
Lazima utakuwa zumaridi. Huwezi kuw mtu.Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.
Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.
Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.
Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.
Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.