Gemu ya Simba na Horoya ilikuwa na mambo mengi ya kufikirisha sana

Gemu ya Simba na Horoya ilikuwa na mambo mengi ya kufikirisha sana

Matatizo ya Afya ya akili yanazidi kujidhihiriaha

Aina gani boss hiyo ya matatizo ya akili.
Hebu rudia tena kusoma ulichoandika halafu rudia tena kuandika mara tatu.
 
Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.

Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.

Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.

Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.

Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Umekula na kushiba lakini?
 
Umekula na kushiba lakini?

Sana tu nimecheck sukari mara ya mwisho randomly ni 8.4mmol/l hiyo si siyo hypogycaemia masta means nimeshiba fuluu

Ila Simba sisi ni wakali wa kona kona
 
Whatever but someone is mentally damaged [emoji16][emoji16][emoji16]

[emoji16][emoji16]mentally damaged causes by what masta space occupying lession, Stress, infection, family history or Depression/burnout from footaball

Ila kwanini tulitaka kuchoma uwanja wa watu siku ile assume moto ungesambaa ule si tungechoma south nzima
 
Goli 7 zimewauma sana baadhi ya wapumbavu,wenyewe Horoya wamekubali kipigo,gongowaz mla mihogo anakosoa uumbaji wa magoli waliojaaliwa Simba na Maulana huku awali walivyofungwa 3 na raja mlifurahia mkijua ndio underdog

Pumbaaaafu
 
Goli 7 zimewauma sana baadhi ya wapumbavu,wenyewe Horoya wamekubali kipigo,gongowaz mla mihogo anakosoa uumbaji wa magoli waliojaaliwa Simba na Maulana huku awali walivyofungwa 3 na raja mlifurahia mkijua ndio underdog

Pumbaaaafu

Umeanza vizuri sema umeharibu mwishoni hauna hoja Pita Kule Masta
 
[emoji16][emoji16]mentally damaged causes by what masta space occupying lession, Stress, infection, family history or Depression/burnout from footaball

Ila kwanini tulitaka kuchoma uwanja wa watu siku ile assume moto ungesambaa ule si tungechoma south nzima
Duh! 🤨🤨🤨 Utopoloni Kuna kazi
 
Ni wakati wa vitendo tu. Ongeeni na data za CAF.

c762bce46fd544adb2b74cc7bb9808bb_336816849_748677930316069_1970725441963335382_n.jpg
 
Nimeangalia kwa umakini gemu ya Simba na Horoya huku Simba akiibuka na ushindi wa mchongo wa goli 7 ndio nasema ni ushindi wa mchongo kwa sababu kama hizi.

Magoli mengi ya Simba yalikua magoli ya Sandakalawe penalti, free kick mara beki za horoya zimepoteza mpira kizembe, mara kipa katema...nk sikuona shambulizi lolote la maana lililopangwa likapangika la Simba tofauti na jinsi Yanga inavyotafuta magoli.

Simba walikua na usaidizi wa refa ukiangalia uchezeshaji wa refa ulikua wa upande mmoja alikua akiua Movement nyingi za Horoya kwa kupuliza filimbi huku akiacha za Simba hata kama ni offside.

Sio kwamba Simba walikua bora hii mechi ilichezwa nje ya uwanja either bahasha ya khaki ilitembea au mambo ya kiswahili kwani Simba ndio mafundi wa hizo tabia ref kule South Afrika hawakuona tabu kutaka kuchoma kiwanja cha watu pia kwenye ishu za Bahasha ni mafundi pia ref kesi ya Kabwili na ile ya ulimboka Mwakingwe au walicheza na makipa wa Horoya au walifanya yote kwa pamoja.

Ila sasa wanavyojitamba huku kitaa utadhani walipiga mpira mkubwa kivile la hasha waswahili wanasema yalikua magoli ya piga nikupige tofauti na Yanga unaona kabisa Movement ball inatoka kwa Mayele inatembea kwa Musonda then Kamba.Kushinda kwa Simba kuna mambo mengi sana ya kufikirsha kwani wana kona kona nyingi sana.
Lazima utakuwa zumaridi. Huwezi kuw mtu.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja,wanaoamini simba itafanya maajabu quarter final sababu ya game ya Horoya wajiandae kulia kilio cha kwikwi
 
Naunga mkono hoja,wanaoamini simba itafanya maajabu quarter final sababu ya game ya Horoya wajiandae kulia kilio cha kwikwi

Jamaa walitoa Kibunda kuanzia gemu ya mtibwa uzuri Raja hawaongeki wale subir aibu kwa taifa
 
Back
Top Bottom