Gemu ya Simba na Horoya ilikuwa na mambo mengi ya kufikirisha sana

Mpira mchezo wa makosa usipofanya kosa ufungwi..
 
Imenunua sh ngapi wakati kuingia tu robo fainali ni 1.5b sasa utahonga kiasi gani
 
Tulitumia njia zetu za kimbinu(ngawira) ili tuweze kushinda na tulishinda.

Unachezea 1.5 bil za robo fainali!

Unatoa mil. 300 kwenye 1.5 bil. kila kitu kinakwenda sawa.
 
Kinyaa tena hebu rudia tena kusoma kama hujaja na comment hakika huo ndio uzi bora toka kwa chambuzi makini kwani nimewasaidia kuwajulisha uchafu wa timu yenu japo mimi Simba pia.
Hizi nguvu unazotetea upumbavu ni bora uzitunze usiku umridhishe wifi yetu... 😆 😆 😆
 
Hizi nguvu unazotetea upumbavu ni bora uzitunze usiku umridhishe wifi yetu... [emoji38] [emoji38] [emoji38]

Keshawahi kukulalamikia nini mamilo[emoji1][emoji1] nimuulize hapa
 
Tulitumia njia zetu za kimbinu(ngawira) ili tuweze kushinda na tulishinda.

Unachezea 1.5 bil za robo fainali!

Unatoa mil. 300 kwenye 1.5 bil. kila kitu kinakwenda sawa.

Sasa wewe ndio umeongea ukweli sio hao wanaobisha tu binafsi nimetoa hela yangu mfukoni kuchangia ununuzi wa ushindi ule
 
Ingekua Ramadhan labda ningesema ni saumu Kali .....
Kiukweli ulichoandika ni 🚮🚮🚮
 
Acha uchoko kabwili wewe
 
Acha uchoko kabwili wewe

[emoji1][emoji1][emoji1] kwa hiyo picha uliyoweka nimegundua kitu wa Oblangata yako,
Kabwili yule mliyempa Kibunga aachie magoli mpaka leo kuna kesi au kabwili yupi Striker mkali kama Manzoki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…