Gen Z gather here: Tuko wapi mbona hatuonekani? Kenya wametuonesha njia tunaweza washughulikia kigeneration yetu!

Gen Z wa Tanzania wanachoweza ni uchawa na kulamba viatu vya watesi wao.

Kwa wanaume Gen Z wa Tanzania akijitahidi sana anaishi kwa dada yake aliyeolewa akisikilizia namna dada yake akilalama akipigwa miti πŸ† na shemeji yake!
HIki ni kisingizo tu na ufinyu mdogo uko/mko nao, yaani % ndogo ya watu basi inakuwa generalized kwa watu wote!
 
Hawa nikuwasubiri kwenye KAMPENI lazma tuwapige mawe
 
Matusi ni nini? Viongozi kuambiwa ukweli? Embu kuwa serious basi uoneshe ukongwe wako. Una ujumbe gani kwa 'Bumunda' ambaye tunayaona matusi yake kweli na yuko proud kufanya hivyo?
ni vile vitu ambavyo havina maana mnaimbaga mkiwa na mihemko kuwafukuza wenye hekima na busara kuambatana nanyi na zaidi sana kuwapuuza πŸ’

vijana wa kizazi kipya Kenya wameona hiyo ni useless na nonsense wameachana nayo na kuja na revolutionary mindset nidhamu mbele hata kwa anae wapinga πŸ’
 
Gen z ni waliozaliwa mwaka gani mpaka gani usije kuta unaongea na wazee humu
 
Anza wewe mkuu. Tupo nyuma yako. Ukila shaba wengine tupate pakutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…