Gen Z wa Tanzania mkiacha kugawanyika kwa misingi ya kiitikadi ya kisiasa mtajikomboa haraka

Gen Z wa Tanzania mkiacha kugawanyika kwa misingi ya kiitikadi ya kisiasa mtajikomboa haraka

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
 
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
Huko kugawanyika kumetengenezwa makusudi ili wasiweze kujiunga kwa pamoja
 
Gen Z ya Tanzania,waliosoma na ambao hawajasoma hawaijui hata Finance Bill-wengine hata hilo neno hawajawahi sikia.
Watu wa aina hiyo wataanzaje kukomboa Nchi??,elimu elimu elimu ni Lowassa voice-watu wamesoma ila bado ni wajinga kiwango cha SGR
sisi tunajua kuwapaka mafuta wadada nakuomba majokeri!,tunaketi bar tunagombania mishangazi inayokula keki ya taifa!.
 
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
2025 baada ya uchanguzi 🤔wataamkA
 
Gen z wa bongo hawana habari na mambo ya finance bill wala hawajui!
Wao ni burudan tu

Ova
 
Mkuu wakati wenu mlifanya nini hadi muanze kuwasakama hawa watoto Generation Z

Kwa sababu tukienda katika uhalisia, hakuna mwenye hiyo haki ya kuwasema ilhali vyovyote walivyo au chochote wanachopambana nacho ni matokeo ya failure za vizazi vilivyopita
 
Mkuu wakati wenu mlifanya nini hadi muanze kuwasakama hawa watoto Generation Z

Kwa sababu tukienda katika uhalisia, hakuna mwenye hiyo haki ya kuwasema ilhali vyovyote walivyo au chochote wanachopambana nacho ni matokeo ya failure za vizazi vilivyopita
Unajua unapokuwa na vijana wapumbavu kama wewe hakuna mabadiliko yanayowezekana! Kwa kuwa baba yako alikuwa anakunya porini kwa hiyo na wewe unataka kuendelea na ujinga huo!

Badilika!
 
Mkuu wakati wenu mlifanya nini hadi muanze kuwasakama hawa watoto Generation Z

Kwa sababu tukienda katika uhalisia, hakuna mwenye hiyo haki ya kuwasema ilhali vyovyote walivyo au chochote wanachopambana nacho ni matokeo ya failure za vizazi vilivyopita
One of big point ni hii hapa juu👆🏿

But haimanishi kwamba Kama wengine wameharibu mpaka sisi tukakuta nchi imejaa ujinga na sisi tuendelee kuharibu

Pia hao walioharibu miaka 30 ijayo wengi wao tukawa tumewazika Ila vipi kuhusu sisi ambao tutabakia Kama wazee wa kipindi hicho????

Kwamba na sisi tunahitaji kuwa katika maisha ya shida na kizazi za hovyo

Na lawama tutamtupia nani??? Wakina chief mangungo,CCM au sisi wenyewe

Mabadiliko yanahitajika
 
One of big point ni hii hapa juu👆🏿

But haimanishi kwamba Kama wengine wameharibu mpaka sisi tukakuta nchi imejaa ujinga na sisi tuendelee kuharibu

Pia hao walioharibu miaka 30 ijayo wengi wao tukawa tumewazika Ila vipi kuhusu sisi ambao tutabakia Kama wazee wa kipindi hicho????

Kwamba na sisi tunahitaji kuwa katika maisha ya shida na kizazi za hovyo

Na lawama tutamtupia nani??? Wakina chief mangungo,CCM au sisi wenyewe

Mabadiliko yanahitajika
Lazma tuanze kuchukua responsibility ya kushindwa kwetu lakini pia kujua kuwa nchi haibadilishwi na generation moja.

Kuna watu wamezaliwa miaka ya 70 -90 , hapa wote bado tuna nguvu kwa hiyo bado tuna jukumu la kuonesha njia lakini sio tukae pembeni tumerelax kwa kutegemea generation z
 
Lazma tuanze kuchukua responsibility ya kushindwa kwetu lakini pia kujua kuwa nchi haibadilishwi na generation moja.

Kuna watu wamezaliwa miaka ya 70 -90 , hapa wote bado tuna nguvu kwa hiyo bado tuna jukumu la kuonesha njia lakini sio tukae pembeni tumerelax kwa kutegemea generation z
Kweli kiongozi nakubaliana na wewe...haina haja ya wao kutulaumu muda wote wakati na wao wanahusika kwa asilimia kubwa katika kuharibu nchi
Muhimu tuungane kwa pamoja
 
Unajua unapokuwa na vijana wapumbavu kama wewe hakuna mabadiliko yanayowezekana! Kwa kuwa baba yako alikuwa anakunya porini kwa hiyo na wewe unataka kuendelea na ujinga huo!

Badilika!
Mkuu yawezekana unaechat nae hapa amefanya mengi tu kubadilisha mindset na maisha ya vijana wengi kwa kuwaelewa nyakati zao na mahitaji yao zaidi kuliko kuwahukumu...

Sisemi tukae kimya Ila lazma tukubali kufeli kwetu kwanza kabla ya kuanza kuwahukumu au kuwalaumu watu ambao ni impact ya failure zilizopita. Generation Z wengi ni 20's kwa hiyo vizazi vingine mfano vilivyo hadi kwenye 50 ndio walishikilia madaraka lakini pia wana uwezo wa kuonesha njia. So hili jukumu ni letu sote
 
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
Mbona unawapangia..

Gen zingine zinaweza pia
 
Mkuu yawezekana unaechat nae hapa amefanya mengi tu kubadilisha mindset na maisha ya vijana wengi kwa kuwaelewa nyakati zao na mahitaji yao zaidi kuliko kuwahukumu...

Sisemi tukae kimya Ila lazma tukubali kufeli kwetu kwanza kabla ya kuanza kuwahukumu au kuwalaumu watu ambao ni impact ya failure zilizopita. Generation Z wengi ni 20's kwa hiyo vizazi vingine mfano vilivyo hadi kwenye 50 ndio walishikilia madaraka lakini pia wana uwezo wa kuonesha njia. So hili jukumu ni letu sote
Kwanza ulianza kulaumu kuwa sisi tulifanya nini! Hii ni hoja mfu kwani enzi zetu hakukuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo sasa ya bandari, madini, misitu, Ngorongoro, Loliondo, KIA nk.

Pili idadi ya wasomi enzi hizo ilikuwa ndogo kwa hiyo nguvu yao siyo kama hivi sasa. Sasa kuna vijana wasomi wengi ambao wakiungana wezi na waporaji wataogopa.

Kumbuka enzi zetu hatukuwa na tatizo la ajira kama leo na wala hatukuwa na tatizo la kazi za kuajiriwa au kujiajiri bali tulikuwa na tatizo la elimu na ujuzi wa kufanya kazi! Darasa la saba aliweza kuajiriwa serikalini na sasa ndiyo wanakula pension kitu ambacho kwa sasa ni ndoto!

Tatu ni kuwa wengi wa enzi zetu hawana tatizo la ajira wala kazi, ni wazee ama wamestaafu au wanaelekea kustaafu. Hivyo kwa kuwa tunaona hali ya maisha ilivyo ngumu na tunaona kesho yenu itakuwa ngumu zaidi tuko tayari kuwaunga mkono endapo mtakuwa wamoja kupambania maisha yenu ya sasa na kesho.

Umoja wenu ndiyo kesho yenu njema!
 
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
Mkuu hawawezi kujikomboa kwani wao watatumika kama ilivyotokea Kenya, Laila akatumia mwanya huo kusaka vyeo kwa chama chake.Now their back to square one while Unbwagable Raila is celebrating with President Ruto.
 
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
Tanzania hakuna generation Z. Kuna wapuuzi, machawa na mabumunda
 
Back
Top Bottom