- Thread starter
- #21
Ni vizuri wajifunze uzoefu huu kutoka Kenya. Kitu cha kujifunza ni kuwa waporaji ni wazee ambao wanafanya hivyo kwa manufaa ya familia zao kwani wana hofu kuwa watoto na wajukuu wao hawawezi kutoboa kwenye fair competition!Mkuu hawawezi kujikomboa kwani wao watatumika kama ilivyotokea Kenya, Laila akatumia mwanya huo kusala vyeo lwa chama chake.Now their back to square one while Unbwagable Raila is celebrating with President Ruto.