Gen Z wa Tanzania mkiacha kugawanyika kwa misingi ya kiitikadi ya kisiasa mtajikomboa haraka

Gen Z wa Tanzania mkiacha kugawanyika kwa misingi ya kiitikadi ya kisiasa mtajikomboa haraka

Vijana walamba miguu ya wenzao ni hasara kwa Taifa na ni fedheha kwa wazazi wao!

Mtoto si riziki wewe!

Riziki utakuwa wewe mwenye kuitisha wengine ila wewe haumo?

Bure kabisa!
 
Riziki utakuwa wewe mwenye kuitisha wengine ila wewe haumo?

Bure kabisa!
Mimi na baba yako siyo Gen Z, lakini tuna masikitiko kuwa na litoto siyo riziki ni heri baba yako angepiga punyeto!
 
Mimi na baba yako siyo Gen Z, lakini tuna masikitiko kuwa na litoto siyo riziki ni heri baba yako angepiga punyeto!

Makasiriko ya nini ndugu?

Kwa hiyo wewe siyo Gen Z na hapa upo kuwaitisha Gen Z?

Kama ndivyo huoni uko kama unawaitisha kama huyu mwamba hapa Kwa maslahi yako tu?

IMG_20220826_161105_738.jpg


Hudhani kama wewe haumo kwenye wito huo busara ilikuwa kukaa kimya kuwasubiri waitishane wenyewe?

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

Tafakari, unadhani uzi huo haukuhusu?

Kujaribu kutumia wengine kama ndomu haikubaliki.
 
Makasiriko ya nini ndugu?

Kwa hiyo wewe siyo Gen Z na hapa upo kuwaitisha Gen Z?

Kama ndivyo huoni uko kama unawaitisha kama huyu mwamba hapa Kwa maslahi yako tu?

View attachment 3063276

Hudhani kama wewe haumo kwenye wito huo busara ilikuwa kukaa kimya kuwasubiri waitishane wenyewe?

Upinzani - walio waoga (cowards) si Wafuasi

Tafakari, unadhani uzi huo haukuhusu?

Kutumia wengine kama kama ndomu haikubaliki.
Mimi na baba yako tunasikitikia uzee wako ukiwa fukara na mtumwa! Sisi kazi tumeimaliza ila tungefurahi kuona uzee wako unakuwa bora kuliko sisi!

Amka pigania haki yako achana na uchawa! Uchawa siyo dili, ungana na wenzako kupigania rasilimali za nchi yako!
 
Mimi na baba yako tunasikitikia uzee wako ukiwa fukara na mtumwa! Sisi kazi tumeimaliza ila tungefurahi kuona uzee wako unakuwa bora kuliko sisi!

Amka pigania haki yako achana na uchawa! Uchawa siyo dili, ungana na wenzako kupigania rasilimali za nchi yako!

Dogo sikia hii, achana na upumbavu kwa maana miye naweza kuwa niko na babako hapa tunakushangaa wewe ambaye ungependa nani akupiganie wewe ukiwa umekaa nyumbani.

Nyimbo za Tanzania zatumika kuhamasisha maandamano Kenya

Raila anapigania uhuru sambamba na Gen Z ndiyo maana wanao uthubutu wa kuendelea mbele.

Kama unasubiria mtu wa kupigania wewe ukiwa nyumbani endelea kukusubiria hadi Yesu kristo aje mara ya 2.

Liabilities kwenye ukombozi wa nchi hii ni watu mufilisi kama wewe.
 
Kwanza ulianza kulaumu kuwa sisi tulifanya nini! Hii ni hoja mfu kwani enzi zetu hakukuwa na mikataba ya hovyo kama iliyopo sasa ya bandari, madini, misitu, Ngorongoro, Loliondo, KIA nk.

Pili idadi ya wasomi enzi hizo ilikuwa ndogo kwa hiyo nguvu yao siyo kama hivi sasa. Sasa kuna vijana wasomi wengi ambao wakiungana wezi na waporaji wataogopa.

Kumbuka enzi zetu hatukuwa na tatizo la ajira kama leo na wala hatukuwa na tatizo la kazi za kuajiriwa au kujiajiri bali tulikuwa na tatizo la elimu na ujuzi wa kufanya kazi! Darasa la saba aliweza kuajiriwa serikalini na sasa ndiyo wanakula pension kitu ambacho kwa sasa ni ndoto!

Tatu ni kuwa wengi wa enzi zetu hawana tatizo la ajira wala kazi, ni wazee ama wamestaafu au wanaelekea kustaafu. Hivyo kwa kuwa tunaona hali ya maisha ilivyo ngumu na tunaona kesho yenu itakuwa ngumu zaidi tuko tayari kuwaunga mkono endapo mtakuwa wamoja kupambania maisha yenu ya sasa na kesho.

Umoja wenu ndiyo kesho yenu njema!
Mimi sio generation Z ni millenial kwa hiyo haya nayoongea ni kufanya reality check.

Kwa kupitia paragraphs zako ni sawa na kusema mlifumbia macho kila kitu kwa sababu maisha yenu yalikuwa ni rahisi. Kiufupi mlikosa vision ndio maana hamkuwa proactive na sasa mmewapasishia matatizo generation Z ili wawe reactive

Ni umimi huo huo mliouasisi na kuuendeleza ndio unafanya watu leo hii wafikirie urahisi wa maisha yao binafsi kuliko future ya taifa hili..

Kuhusu issue ya usomi ni kweli mlikuwa wachache lakini pia haikuchukua wasomi wengi kuleta uhuru, vipi nyie kwa uchache wenu mlifanya nini??.....

Kingine usiseme hakukuwa na mikataba mibovu kwa sababu msingi mbovu mlioacha utengenezwe haswa wa kikatiba ndio ulioleta shida hizi zote. Na usisahau turning point ya nchi hii kutoka kuwa taifa la producers kuwa la consumers kwa ubinafsishaji holela..
Mikataba mibovu ya madini etc.. Ni 1990's .. 30 years kabla hawa mnaotaka wayarekebishe mnayoyaona hawajazaliwa

Hivyo utaepukaje hizi lawama

Na usiseme hawa watoto wafanye sisi tutawasupport ilhali wengi wenu bado mpo kwenye spaces of power na kama mlishindwa kupambana enzi zenu. Ni nini kitawathibitishia hawa watoto kweli mna dhamira ya dhati ku inga juhudi za mabadiliko kuliko mfumo uliowanufaisha ninyi na vizazi vyenu
 
Wao kutokufanya haihalalishi sisi kutokufanya
Sijakataza mtu asifanye ila vizazi vilivyopita visijione kama vinastahili kunyooshea vidole vizazi vya sasa kwa kushindwa kuondoa vitu ambavyo wao waliviruhusu vitokee
 
Nchi hii kuna wizi, ufisadi na ubadhilifu wa rasilimali za umma mkubwa usio na kifani. Wakati huo huo hali ya maisha yanazidi kuwa magumu kwa wananchi wote na hasa vijana. Njia kuu zote za kiuchumi ama zinamilikiwa na wajanja wachache na hasa viongozi na familia zao na marafiki wao.

Njia pekee ya kujikwamua na kujikomboa kutoka katika makucha ya vigogo hawa wachache wanaofaidi keki ya Taifa ni UMOJA.

Bila Gen Z wote kuungana na kupigania haki zenu mmekwisha! Hakika mtabaki hoi na watumwa maisha yenu yote na kuwa watazamaji wa mali za nchi zikiporwa na kuuzwa kwa mataifa mengine. Ardhi, madini, misitu, mito, maziwa na bahari vyote vitachukuliwa na wageni na ninyi mtabaki wapangaji katika nchi yenu wenyewe!

HILI NI BARAGUMU LA KUWAAMSHA KUTOKA USINGIZI WA PONO!

VIJANA AMKENI NCHI INAPORWA!

VIJANA SHIKAMANENI KUPIGANIA HAKI NA NCHI YENU

VIJANA ACHENI KUBAGUANA KIITIKADI UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI KIAMA CHENU!
GenZ ni vijana wasomi kama ulivyowasikia wakenya, hawa wetu ni wa uchawambuzi wa mpira na kubeti, hawajui dunia inaendaje.
 
Back
Top Bottom