Kati ya kauli ya hovyo na ambayo binafsi huwa naichukia sana ni hii!Wasingoje ajira za serikali tu, waingie mitaani kwenye sekta binafsi.
Hata ukiwa sekta binafsi unaweza kuwa mwana siasa, na si lazima muajiriwa wa serikalini ndiyo awe mwana siasa.Kati ya kauli ya hovyo na ambayo binafsi huwa naichukia sana ni hii!
Kwa nini 'mizee' iliyoko serikalini na mingine inagombania nafasi za kisiasa, isiachie hizo nafasi na badala yake itumie fedha ilizochuma kujiajiri na badala yake mnawalazimisha vijana wadogo wasio na mitaji kujiajiri?!
Anyway, Mungu yuko.
Ajira zipi sasa unamaanisha?
Ajira rasmi (kwa wale waliosomea/professionals) na zile zisizo rasmiAjira zipi sasa unamaanisha?
Ajira zipi sasa unamaanisha?
Ajira rasmi (kwa wale waliosomea/professionals) na zile zisizo rasmiAjira zipi sasa unamaanisha?
Lakini mbona kwenye Bajeti inayopitishwa (kukubaliwa)na Bunge kuna kipengele cha Ajira mpya? Nadhani kunakosekana Ufuatiliaji ili kujua Ajira zilizoombwa kwenye Bajeti iliyoidhinishwa imetekelezwa?mkuu ajira hazitoki kwakua serikali yetu haina hela.... na kwanini haina hela ni matumizi makubwa ya fedha kwenye uendeshaji wake...
mfano swala kama mwenge lingeweza kulipa watumishi wangapi? japo watumishi hao hao hulazimishwa kuuchangia mwenge kwenye wilaya husika.
ununuzi wa magari ya viongozi unashuhudia msafara wa lc 300 kama 30 zinampitisha kiongozi.
unadhani haya matumizi ni lazima au viongozi wanataka kutuonyesha kwamba hatuna la kufanya?
leo tunakopa nje na bado tumewekwa kwenye nchi maskini zaidi na sio kuwekwa ndio uhalisia
ogopa nchi ambayo wanatenga bajeti ya kununua magari mapya wakati yaliyopo bado yanalipa vizuri tu ninkamfumo ka kujimilikisha kanatafutwa
Wadau Asalam aleykum.
Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nawashauri viongozi wangu mlioko kwenye vyombo vya kutunga sera, mfanye kuwaajiri vijana walioko mtaani wenye ujuzi na wasio na ujuzi pia watafutiwe kazi za kufanya.
Hii itawafanya kuwa bize na hivyo kuwasahaulisha na ugumu wa maisha wanaokabiliana nao sasa.
Viongozi wangu, msijiamini kupitiliza kwamba nyinyi mna mifumo imara kuliko huko kunakofuka moto sasa.
Wanasema mwenye njaa mara zote huwa na hasira.
Pia wanasema kama huna kazi ya kufanya, basi chochote kinachokuja mbele yako unaweza kujikuta unakifanya! Shetani huwatumia sana wasio na kazi kutimiza agenda zake ovu.
Maandamano ni kama ugonjwa wa kuambukiza. Mara nyingi nchi nyingi zenye matatizo kama vile Libya, Tunisia, Misri, Sudan, na sasa Kenya na Uganda, maandamano huwa yanaanza kidogo kidogo na baadaye kusambaa nchi nzima!
Kama hali ikiendelea hivi ilivyo, basi tusishangae kuwaona Gen Z wetu nao wakiingia barabarani kuandamana.
Naomba kuwasilisha.
Bi mkubwa, kuna sehemu huenda hatuelewani.Hata ukiwa sekta binafsi unaweza kuwa mwana siasa, na si lazima muajiwa wa serikalini ndiyo awe mwana siasa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Halafu huyo tuseme hajui Taratibu za Ajira Serikalini na Ukomo wa Ajira Serikalini. Anadhani ukiajiriwa Serikalini unajiondokea tu bila vigezo na masharti kuzingatiwa.Hata ukiwa sekta binafsi unaweza kuwa mwana siasa, na si lazima muajiwa wa serikalini ndiyo awe mwana siasa.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Tembelea mkoa wa Pwani uone viwanda vipya, kila sehemu.Bi mkubwa, kuna sehemu huenda hatuelewani.
Anyway, serikali inafanya jitihada gani kuhakikisha hizo sekta binafsi zinaajiri vijana wengi?
Mbona nyingi, badala ya kuongeza waajiriwa zimejikita kwenye kuounguza idadi ya waajiriwa kutokana na sera mbovu za serikali?!
Anyway, ni ushauri tu kwa nchi yangu, maana wanasema huwezi kuwa salama kama jirani yako hayuko salama.
Tujitahidi kuchukua hatua na tahadhali ili Taifa letu liendelee kustawi na kudumisha amani.
Nitaongelea Vijana wetu wa GenZ wa hapa Bongo ningependa waulizwe kipi bora kwao ni Ajira za kutosha Katiba au Simba/Yanga au Taifa Starz kuchukua Ubingwa?Tatizo siyo huu ukomavu tunaoitishana wakati wengine twala?
Tembelea mkoa w Pwani uonne viwanda vipya, kila sehemu.
Kwani sekta binafsi lazima uajiriwe, kwanini hujiajiri wewe mwenyewe?
SG
Nitaongelea Vijana wetu wa GenZ wa hapa Bongo ningependa waulizwe kipi bora kwao ni Ajira za kutosha Katiba au Simba/Yanga au Taifa Starz kuchukua Ubingwa?
Kipaumbele chao GenZ wetu ni nini?!
Sisi Makamanda tumeandamana Maandamano ya Amani Nchi nzima GeZ hawakutia timu.Mtawalaumu bure Gen Z Tanzania. Ama kwa hakika mtamaliza bucha zote ..
Kwani ni hawa wanaoambiwa "komaa kamanda?"
Ninachangia tu; huyo unayemwita Bi mkubwa atakujibu kwa wakati wake.Bi mkubwa, kuna sehemu huenda hatuelewani.
Anyway, serikali inafanya jitihada gani kuhakikisha hizo sekta binafsi zinaajiri vijana wengi?
Mbona nyingi, badala ya kuongeza waajiriwa zimejikita kwenye kuounguza idadi ya waajiriwa kutokana na sera mbovu za serikali?!
Anyway, ni ushauri tu kwa nchi yangu, maana wanasema huwezi kuwa salama kama jirani yako hayuko salama.
Tujitahidi kuchukua hatua na tahadhali ili Taifa letu liendelee kustawi na kudumisha amani.
🤣🤣🤣 Tz hii au ip sasa ww Gen z unataka utuambie ss wauza chps tuache then tuandamane kuwapigania majitu yaliyo enda kupata elimu ya kukaririshwa kwl nawapa pole sana mmeambiwa mkalime kuna toyo na bajaj sasa we unataka kwenda BOT na wakat umesoma komb mama (HKL)Wadau Asalam aleykum.
Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nawashauri viongozi wangu mlioko kwenye vyombo vya kutunga sera, mfanye kuwaajiri vijana walioko mtaani wenye ujuzi na wasio na ujuzi pia watafutiwe kazi za kufanya.
Hii itawafanya kuwa bize na hivyo kuwasahaulisha na ugumu wa maisha wanaokabiliana nao sasa.
Viongozi wangu, msijiamini kupitiliza kwamba nyinyi mna mifumo imara kuliko huko kunakofuka moto sasa.
Wanasema mwenye njaa mara zote huwa na hasira.
Pia wanasema kama huna kazi ya kufanya, basi chochote kinachokuja mbele yako unaweza kujikuta unakifanya! Shetani huwatumia sana wasio na kazi kutimiza agenda zake ovu.
Maandamano ni kama ugonjwa wa kuambukiza. Mara nyingi nchi nyingi zenye matatizo kama vile Libya, Tunisia, Misri, Sudan, na sasa Kenya na Uganda, maandamano huwa yanaanza kidogo kidogo na baadaye kusambaa nchi nzima!
Kama hali ikiendelea hivi ilivyo, basi tusishangae kuwaona Gen Z wetu nao wakiingia barabarani kuandamana.
Naomba kuwasilisha.
Kwahakika umenenaWadau Asalam aleykum.
Wanasema mwenzako akinyolewa zako tia maji.
Nawashauri viongozi wangu mlioko kwenye vyombo vya kutunga sera, mfanye kuwaajiri vijana walioko mtaani wenye ujuzi na wasio na ujuzi pia watafutiwe kazi za kufanya.
Hii itawafanya kuwa bize na hivyo kuwasahaulisha na ugumu wa maisha wanaokabiliana nao sasa.
Viongozi wangu, msijiamini kupitiliza kwamba nyinyi mna mifumo imara kuliko huko kunakofuka moto sasa.
Wanasema mwenye njaa mara zote huwa na hasira.
Pia wanasema kama huna kazi ya kufanya, basi chochote kinachokuja mbele yako unaweza kujikuta unakifanya! Shetani huwatumia sana wasio na kazi kutimiza agenda zake ovu.
Maandamano ni kama ugonjwa wa kuambukiza. Mara nyingi nchi nyingi zenye matatizo kama vile Libya, Tunisia, Misri, Sudan, na sasa Kenya na Uganda, maandamano huwa yanaanza kidogo kidogo na baadaye kusambaa nchi nzima!
Kama hali ikiendelea hivi ilivyo, basi tusishangae kuwaona Gen Z wetu nao wakiingia barabarani kuandamana.
Naomba kuwasilisha.
Sisi Makamanda tumeandamana Maandamano ya Amani Nchi nzima GeZ hawakutia timu.
Ajira siyo serikalini, ni kuwezesha vijana wetu kutumia uwanja wao wa nyumbani (ardhi ya Tanzania) na hata ugenini katika kuzalisha mali na huduma.mkuu ajira hazitoki kwakua serikali yetu haina hela.... na kwanini haina hela ni matumizi makubwa ya fedha kwenye uendeshaji wake...
mfano swala kama mwenge lingeweza kulipa watumishi wangapi? japo watumishi hao hao hulazimishwa kuuchangia mwenge kwenye wilaya husika.
ununuzi wa magari ya viongozi unashuhudia msafara wa lc 300 kama 30 zinampitisha kiongozi.
unadhani haya matumizi ni lazima au viongozi wanataka kutuonyesha kwamba hatuna la kufanya?
leo tunakopa nje na bado tumewekwa kwenye nchi maskini zaidi na sio kuwekwa ndio uhalisia
ogopa nchi ambayo wanatenga bajeti ya kununua magari mapya wakati yaliyopo bado yanalipa vizuri tu ninkamfumo ka kujimilikisha kanatafutwa
kabsa yaan kama mbwai mbwai tuHWanajitahidi vitisho na drama zao kuogopesha. Wasubiri vijana wetu wamejifunza Bangladesh