Godo
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,089
- 1,468
Maandamano ya General Z wa Tanzania hayana sababu za msingi ajira zinatangazwa Kila kukicha na Serikali na sekta binafsi lakini yote kwa yote Serikali haina uwezo wa kuajiri vijana wote wa Tanzania hii isipokuwa watu kujiajiri wenyewe na ukizingatia Serikali inatafuta masoko ya mazao Kila leo mfano kusini watu wanapiga pesa ya korosho,ufuta na mbaazi,wakulima wa mahindi Zambia wanahitaji Tani 650,000/= NFRA wananunua kilo moja ya mahindi shs.700 kwa mjini na vijijini 600 ,ardhi imejaa tele nchi nzima,mvua za uhakika halafu kijana anaililia Serikali eti maisha magumu vijana wa Kenya wangekuwa na ardhi kama hii yetu tusingewaona kwenye maandamano zaidi ya kuwepo mashambani.