Gender ni mbaya sana imetengeneza ubaguzi

Sex roles ndio gender?
Mgawanyo wa majukumu ndio gender?
 
Ndio maana nasema huelewi kitu ndio maana una hoja za kijinga walio helewa soma comment za juu wameelewa nini na maanisha
Sawa nina hoja za kijinga.

Ila naomba uni eleze kwamba ๐Ÿ‘‡

Ni jamii ya watu gani dunia hii ambapo wanaume hulia hulia hovyo?
 
Shida ndio hizi hapa elimika mzee acha upumbavu wakijinga ambao huna faida yoyote unaendekeza upumbavu kwavitu vya kijinga

Ushawai jiuliza kwanini wanaume wanakufa mapema na dunia kubaki na idadi kuwbwa ya wanawake?
Wanaume hawafi mapema kwa hizo sababu ulizosema hapo juu,wanaume wanakufa mapema kwasababu ndivyo walivyoumbwa kua risk taker tofauti na wanawake.Ata wanyama wa mwituni na wakufuga madume yanakua na harakati nyingi zinazohatarisha maisha yao zaidi tofauti na majike.Mambo mengine ni nature.Ukijiona unaona kua mwanaume kuna kasoro jua uko na shida inakunyemelea.
 
Ukijiona una feelings za hivyo jua wewe ni dhaifu.Kua mwanaume sio kitu rahisi kama utakua unawaza kulia nakuonyesha hisia zako dhaifu hadharani.Kama una hayo mawazo wewe haujakamikika kua mwanaume kamili.Mungu alimuumba wanaume awe imara kuanzia Misuli ya mwili hadi ubongo wenye uwezo wakucontrol hisia na kila kitu kinachomzunguka.
 
Mkuu namchukia sana alie leta habari za gender leo mm mtoto wakiume naumizwa nashindwa kulia au kuongea kwa uwazi kisa tu mwanaume tume mezeshwa vitu vya kijinga that why tunakufa mapema kisa kuficha hisia
Haya maelezo ulitakiwa kuyaweka kwenye maelezo ya awali usingeletewa matusi. Kiujumla wazo lako ni zuri ila halina nyama.

Mf.1 Unataka kukopa fedha za Halmashauri unaambiwa ni za wanawake, vijana na walemavu. Kwa mujibu wa gender basi wanaume umri wa wazee hawaruhusiwi kukopa.

Mf.2 Unataka gari lako automatic lisajiriwe bolt na uendeshe mwenyewe lakini unakataliwa kwa sababu umekatwa mguu mmoja.
Mf.3 kuna fursa ya ajira kitengo fulani ila huwezi kuajiriwa kwa sababu we ni mfupi au mrefu sana au umechora tattoo.
 
Kumbe wewe ni mwanamme?
Halafu unajiweka picha ya mdada na kifua wazi?
Nafikiri unamatatizo ya kisaikologia!
Tungeanzia hapo
Kama age hiyo ujui kutofautisha kifua cha mwanaume na mwanamke rudi shule
 
Thanks so much for ur explanition
 
Ahow evidance
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ