Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Kawapa nchi wahuni na nchi inaongozwa kihuni
Watu walimchagua Samia 2015, 2020 akiwa na Magufuli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawapa nchi wahuni na nchi inaongozwa kihuni
Tanzania inauchaguziTanzania hakuna uchaguzi inamaana na hili hulijui yaani nimeshangaa na hili hulijui
Hata wwe ukifa,kuna watu watataka kuchukua mirathi yako japokua siyo warithi wako! Ni tamaa za kibinaadamu tu pamoja na sheria na taratibu kuwepo lakini bado kuna mtu atataka akwepeshe kwa tamaa zake!!Alipokuwa anaeleza kuhusu kifo cha JPM, machozi yalimtoka, alijitahidi sana mpaka katiba ikafuatwa, kuna waliotaka kuchukuwa uongozi bila kufuata katiba, "hongera baba Mabeyo kwa juhudi zako.
We unapenda ligi za kitotoTanzania inauchaguzi
Kûna uchaguzi unaofanyika kîla Miaka mitano àmbao upo Kisheria
Lakini pia Wananchi wanauwezo wa kutofuata hizô Sheria wakachagua vinginevyo kimabavu
Hivyo kitendo cha kuacha mambo yalivyo inamaanisha wamechagua Hali ilivyo
anachoifanyia tanganyika ni sahihi? we vipi au wewe ni mzenji.. Mtanganyika hawezi kusema hivyoHata wwe ukifa,kuna watu watataka kuchukua mirathi yako japokua siyo warithi wako! Ni tamaa za kibinaadamu tu pamoja na sheria na taratibu kuwepo lakini bado kuna mtu atataka akwepeshe kwa tamaa zake!!
safi kabisa. njoo road atatimka tu.MAKOSA YANAFANYWA NA NYNYI AMBAO HAMTAKI KUJA ROAD TUKIPANGA TAREHE
We unapenda ligi za kitoto
Mtu yeyote mwenye akili timamu anajua kuanzia 2020 na kuja mbele hakuwezi kuwa na uchaguzi wa huru na haki haihitaji phd kulijua hili
Hapo ndo tunapofeli wa bongo. Tunategemea aje mabeyo au chadema kututetea. Ni kitendo cha kuamka siku moja na kutembea Road mpka bungeni watueleze kinachoendelea