General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

Yani hata ukweli kwamba Mabeyo alihitajika kuamua ni tatizo.

Kwa sababu katiba iko wazi, akifariki rais mtu wa kuchujua urais ni Makamu wa Rais.

Sasa unamuuklza Mabeyo nini jambo ambalo katiba imeliweka wazi?

Inawezekana Samia ana natatizo kama rais, lakini mchakato wa alivyoupata urais ni wa kikatiba, hauna tatizo.

Sasa mlitaka nini? Mlitaka nchi iongozwe kijeshi?
Labda ndivyo walivyotaka !
 
Mnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).

Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.

Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).

Lissu was a nuisance in the midst of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.

Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).

Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.

Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.

Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.

Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
Babu jifunze kidhungu.
 
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Huu upuuzi wakuendekeza kuongozwa na familia sijui utawaisha lini.
Njaa ikihamia kichwani ubongo unakisa brake.
 
Labda ndivyo walivyotaka !
Watanzania wengi, hata wanaosema wanapenda demokrasia na utawala wa sheria, hawapendi kweli demokrasia na utawala bora.

Wanapenda upande wanaoutaka wao ushike madaraka tu.

Kama upande wanaoutaka wao hauko katika madaraka, watapiga kelele sana kuhusu demokrasia na utawala wa sheria.

Lakini pia, wako tayari kutumia njia zisizofuata demokrasia na utawala wa sheria kuutoa upande wasioutaka madarakani.

Ndiyo maana unaweza kukuta wanaongea kuhusu demokrasia na utawala wa sheria, halafu hapohapo wanachagiza mapinduzi ya kijeshi.

Contradiction.
 
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Point yako ni nzuri. Afande aombe radhi kwa kweli
 
Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Hamna shukran. Alikuwepo Mwalim Nyere akina Kambona walikimbia, akaja mwinyi wakarudi, akaja mkapa kuna watu walikimbia nchi, akaja kikwetwe wakarudi, alikuja Magufuli Lissu na Lema walikimbia kuja Samia wakarejea nchini.
Hamjajifunza tu kitu hapo?
 
Hamna shukran. Alikuwepo Mwalim Nyere akina Kambona walikimbia, akaja mwinyi wakarudi, akaja mkapa kuna watu walikimbia nchi, akaja kikwetwe wakarudi, alikuja Magufuli Lissu na Lema walikimbia kuja Samia wakarejea nchini.
Hamjajifunza tu kitu hapo?
Bora kukimbia kuliko kutekwa mchana kweupe na kuuliwa hadharani na kinyama kama walivyomuua mzee kibao Chini ya maagizo kutoka kizimkazi
 
Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Inshu ni rtd. cdf au katiba yetu?. Rtd. Cdf alisisitiza katiba ifatwe kama ilivyo, and he did his part.
 
Hizi ngonjera mbona zinashika kasi baada ya wale watu wa wazuri hawafi kutolewa kwenye safu ya keki ya taifa........pambaneni na hali zenu MAMA MPAKA 2030 HIO
 
Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Mtu mwenye akili hawezi kumlaumu mabeyo kwa kusimamia katiba
 
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Hate the game not players! Katiba ndio iliamua Samia awe rais, Mabeyo alisimamia tu matakwa wa katiba,
 
Angezingatia risk sssement ya ability ya mtu anaetaka kupewa nchi na mamlaka atakayokuwa nayo if she worth it kwa mustakabali wa taifa.

We unadhani kwanini hardcore republicans kama hakina Dick Cheney wapo tayari mwanamke wa kihindi kuwa raisi wao kushinda Donald Trump; nchi kwanza.
Risk assessment olitakiwa ifanywe na ccm walipokuwa wanafanya vetting ya makamu wa rais 2015.
Mabeyo kasimamia katiba tu ambayo ipo toka 70s
 
Dogo unarudia kosa Lile lile kama la mabeyo
Unaeeka mbele utashi wako binafsi
Takwa letu kama taifa si watu ni mifumo

Mi nadhani hata huyu mama akibadilika akatuletea katiba mpya hatuna noma naye
Kuna kitu Mayor Quimby ameeleza kuhusu JPM na kuhusu SSH kinachohitaji mtu shupavu asiye yumbishwa na awe mkali. KUBADILI TABIA au UTAMADUNI wa watanzania mfano uadilifu, uwajibikaji n.k
Hivyo vitu ni zaidi ya Katiba na sheria.
Sasa ktk Katiba hii hii inayolalamikiwa Kuna mambo mengi yamekatazwa kikatiba na watu wanayafanya Tena kwa uwazi hawawajibishi.

Wakidaiwa kodi wakalazimishwa na vyombo vilivyo kikatiba wanagoma au wanalialia.
Mtu mwenye cheti batili anaona haki yake kuoewa kazi inayo mhitaji mwenye cheti halali.
 
Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Kila siku mnataja katiba katiba sasa mlitaka yeye afanye nn wakati katiba inasema hvyo?
 
Back
Top Bottom