General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Unaelewa maana ya Novena wewe?
 
Baba mtu ashitakiwa kwa kesi ya kusaidia mauaji marekani. Hiyo ni baada ya kijana wake kuuwa watu wannę na kujerihi kadhaa shuleni kwa bunduki.

Baba mtu akuwepo hata kwenye eneo la tukio, kosa lake ni kumpa zawadi ya bunduki minor. Hivyo serikali imeona ana ‘vicarious liability’ ya kuwa irresponsible kutokana na epidemic za school shooting, halafu yeye anampa mtoto zawadi ya bunduki.

Somo hapo ni common sense and philosophical reasoning on what’s the best course of action ukipata fursa. Following rules as they are and risk the prosperity of the nation or bending them for the greater benefit of society.
 
Angezingatia risk sssement ya ability ya mtu anaetaka kupewa nchi na mamlaka atakayokuwa nayo if she worth it kwa mustakabali wa taifa.

We unadhani kwanini hardcore republicans kama hakina Dick Cheney wapo tayari mwanamke wa kihindi kuwa raisi wao kushinda Donald Trump; nchi kwanza.
Kama makamu wa rais uwezo wake ni mdogo ilikuaje akawa pale na sio akina Dkt Asha Rose Migiro na hata Prof Anna Tibaijuka? Huoni kwamba hilo ni tatizo la ccm sio la Jeshi? Au ccm ilimuweka pale kama pambo tu huku ikijua likitokea jambo yeye ndiye atakayemrithi boss wake?

Kazi ya jeshi ni kulinda nchi na katiba. Katiba ndio inataka hivyo kuwa makamu wa rais awe mrithi ikitokea rais amefariki akiwa madarakani na katiba ikafuatwa. Kama unaona rais Samia hana uwezo wa kuongoza nchi muwaulize wazee wa ccm ilikuwaje wakampitisha kuwa makamu wa rais.

Hoja yako ni nzuri na kama ingefanikiwa mambo yangekuwa tofauti lakini ingekuwa ni nje ya utaratibu wa katiba.
 
Katiba yetu ilifuatwa !Hongera Gen Mabeyo!
Funzo kwetu wakati wa Vetting ya kumpata mgombea mwenza .
Katiba sio msahafu.
Wakubwa waliomkataa waliona mbali.na walitaka kutuokoa na kitu sema tu hatkujua tukawaona wabaya.
 
Katiba sio msahafu.
Wakubwa waliomkataa waliona mbali.na walitaka kutuokoa na kitu sema tu hatkujua tukawaona wabaya.
Walitakiwa kumkataa kabla au baada ya kuwa makamu wa rais. Waliomkataa walikuwa wanautaka urais hivyo tatizo ni ccm sio Samia. Au wanauambia umma kuwa makamu wa rais ni pambo tu? Kama ndio wafute hicho cheo abaki rais pekee.

Kama Samia hana uwezo basi ccm ndio wa kulaumiwa kwa kumuweka pale huku akiwa hana uwezo. Lakini yeye kuwepo pale sio kwa maamuzi yake bali ni utaratibu wa kikatiba na waliomuwezesha kufika pale ni hao hao wazee wa ccm. Kama hawamtaki wasubiri amalize muhula wake.
 
Walitakiwa kumkataa kabla au baada ya kuwa makamu wa rais. Waliomkataa walikuwa wanautaka urais hivyo tatizo ni ccm sio Samia. Au wanauambia umma kuwa makamu wa rais ni pambo tu? Kama ndio wafute hicho cheo abaki rais pekee.

Kama Samia hana uwezo basi ccm ndio wa kulaumiwa kwa kumuweka pale huku akiwa hana uwezo. Lakini yeye kuwepo pale sio kwa maamuzi yake bali ni utaratibu wa kikatiba na waliomuwezesha kufika pale ni hao hao wazee wa ccm. Kama hawamtaki wasubiri amalize muhula wake.
Ndo Maputo sasa
 
Alipokuwa anaeleza kuhusu kifo cha JPM, machozi yalimtoka, alijitahidi sana mpaka katiba ikafuatwa, kuna waliotaka kuchukuwa uongozi bila kufuata katiba, "hongera baba Mabeyo kwa juhudi zako.
 
Mabeyo hakufanya makosa, as a soldier alifuata kiapo chake, as wanavyoapa kila anae jiunga na jeshi.
Why put the blame on him?
 
Ulitaka avunje KATIBA?

Mabeyo hakuwa na namna zaidi ya kufuata KATIBA.
Kinyume chake angekuwa mhuni na angeweka Historia mbaya kuwahi kutokea
 
MAKOSA YANAFANYWA NA NYNYI AMBAO HAMTAKI KUJA ROAD TUKIPANGA TAREHE
MMEZOEA (CHADEMA) MTU KUWAPIGANIA. HAKI ZENU

NCHI ZILIZO PATA UHURU KWA KUPIGANIA HAKI ZAO NDO MAANA ZINAENDELEA, TZ TUTABAKI KUWA NYUMA
 
Back
Top Bottom