General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

Hussein Mwinyi for presidency 2025🥺🥺🥺🥺🥺
Yaani sitamani kabisa ukichomfanyia Membe (Rip); kwa kumdanganya na kampeni za ni "Yeye" kisha akaishia kwenye kampeni zi sizoeleweka za 2020.

Sasa kwa kauli hii, sitarajii iwe " fishy project".
 
Kiongozi hii si mada ya ujuaji ni mjadala tu.

Hakuna anaejua zaidi ya mwingine, ni kupeana ufahamu tu humu. Kila mtu anajifunza kutoka kwa mwenzake.

Uhalisia ni kwamba uwezi shitakiwa MiGA. Kwa sababu mikataba ya host government agrement na kampuni yoyote when it comes to dispute resolution; either inakuwa covered kwenye BIT.

Kama nchi hazina makubaliano ya BIT basi dispute resolution itawekwa kwenye stabilisation clause ya HGA.

Hakuna mzungu ataingia mkataba wa biashara hasa nchi za third world bila ya kulindwa na BIT au kuweka stabilisation clause ya dispute resolution.

Ndio maana kila tunaposhitakiwa utasikia wawekezaji wanasema wanatumia BIT.

Sasa yeye wakati wenzake wanafanya yao kakadhana kuwakatisha tamaa. Akiambiwa acha hataki kuelewa.
Mkuu unaona kabisa sawa kwa mtazamo wako kuwa Lisu alistahili kifo??

Haya tuambie tulifaidi nini watanzania kutokana na mkataba ule wa uliowadhania kuwa na uweledi wa mkataba??

Makinikia hayakutoka?? Trilioni mia 400 tulilipwa?? Barick hawachimbi madini??? Kuna kesi yoyote ya madini tumeshinda??? Kuna kesi ya yoyote kuvunja mkataba kipindi cha awamu ya 5 tumeshinda??

Mkuu sisi ni wa swahili acha Kiingereza kiingi humu na visingizio vya usalama, jibu maswali hayo. Utekaji na mauaji ya mtanzania yeyote haukubaliki kwa sababu yoyote ile!

Mzee Kibao hakustahili kufa vile!!

Mkuu inaelekea unafahamu kinacho endelea maana juzi ulikuwa unawatuhumu sana viongozi wa Chadema kuhusika na mauaji hayo!!!

Kama kweli unaamini hivyo kwa nini siku zote viongozi wa Chadema tena upinzani hawajawahi kukamatwa, kushtakiwa na kufungwa kwa tuhuma hizo!!!

Ama kweli wahenga hawakukosea kusema ushushi hutoka kwenye inya!
 
Mkuu unaona kabisa sawa kwa mtazamo wako kuwa Lisu alistahili kifo??

Haya tuambie tulifaidi nini watanzania kutokana na mkataba ule wa uliowadhania kuwa na uweledi wa mkataba??

Makinikia hayakutoka?? Trilioni mia 400 tulilipwa?? Barick hawachimbi madini??? Kuna kesi yoyote ya madini tumeshinda??? Kuna kesi ya yoyote kuvunja mkataba kipindi cha awamu ya 5 tumeshinda??

Mkuu sisi ni wa swahili acha Kiingereza kiingi humu na visingizio vya usalama, jibu maswali hayo. Utekaji na mauaji ya mtanzania yeyote haukubaliki kwa sababu yoyote ile!

Mzee Kibao hakustahili kufa vile!!

Mkuu inaelekea unafahamu kinacho endelea maana juzi ulikuwa unawatuhumu sana viongozi wa Chadema kuhusika na mauaji hayo!!!

Kama kweli unaamini hivyo kwa nini siku zote viongozi wa Chadema tena upinzani hawajawahi kukamatwa, kushtakiwa na kufungwa kwa tuhuma hizo!!!

Ama kweli wahenga hawakukosea kusema ushushi hutoka kwenye inya!
Ni mjinga mmoja naye amepata dhamana ya kukaa ofisi ya umma anadhani wote ni wapumbavu vile .

Shibe mwanamalevya
 
Busara ingekuwa kusema unadhani nani anafaa na kwanini choice yangu sio sahihi.

Kuanza na mimi mleta mada whilst I am just airing my opinion, shows your focus was personal attack; rather the topic.
Well, your "opinion" isn't any different from a historically known person presenting it, or is it! Therefore you cannot detach yourself from a well known character.
 
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Mbona kama rip unapongeza nini?
 
Baadhi ya watanzania ni watu wajinga na wasiojielewa kabisa. Wanalilia Katiba mpya na utawala wa sheria ila sheria zikifuatwa wao wanataka zivunjwe.

Sasa mtu kama huyu ana tofauti gani na kiongozi aliye madarakani anayekanyaga sheria?

Hapa ndio unagundua kula wengi sio waumini wa utawala wa sheria, bali wanapenda sheria zipindishwe kwa maslahi yao.
 
Mwinyi ni mtanganyika kwao

Ukumbuke mwinyi kwao mkuranga , ni mtanganyika yule
Huyo ni mzaliwa wa Zanzibar, na anajitambulisha yeye mwenyewe kuwa ni mZanzibar na maisha yake yote na tamaduni yake ni mZanzibar. Huo uTanganyika wa baba yake ni wa kimaslahi tu basi. Hana uchungu wowote juu ya Tanganyika.
 
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Atuombe radh watanzania
Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Frankly speaking from the bottom of my heart, huyo Mabeyo mnamuonea bure tu. Mkuu wa Majeshi kazi yake Siyo kutunga Katiba ya nchi, bali kazi yake ni Kulinda Katiba ya nchi. Hili ndilo jukumu lake la msingi kabisa.

Mabeyo alichofanya ni Kutetea na Kuilinda Katiba ya nchi, alikuwa yupo sahihi kabisa kwenye suala hili.
Watanzania mnapaswa kujilaumu nyinyi wenyewe kwa uzembe wenu wa kutokudai na kutokupigania Upatikanaji wa Katiba Mpya muitakayo, ambayo mnaamini kwamba itawaleteeni Viongozi mnaowataka wenye elimu au akili kubwa Kama yalivyo matamanio yenu.

Tafadhali, Gharama za ujinga wenu msimbebeshe Mabeyo, Pambaneni na hali zenu. Mabeyo hakutunga Katiba hii iliyopo, Wala msimlaumu.
 
Baadhi ya watanzania ni watu wajinga na wasiojielewa kabisa. Wanalilia Katiba mpya na utawala wa sheria ila sheria zikifuatwa wao wanataka zivunjwe.

Sasa mtu kama huyu ana tofauti gani na kiongozi aliye madarakani anayekanyaga sheria?

Hapa ndio unagundua kula wengi sio waumini wa utawala wa sheria, bali wanapenda sheria zipindishwe kwa maslahi yao.
Inashangaza sana
 
Gen Mabeyo alikuwa sahihi Kuwakumbusha watu Kuheshimu Katiba Big up kwake.Angalau kwenye taasisi zilizopo Huenda ni JWTZ Tu inaweza kuaminiwa Kwa Kuheshimu Katiba.Taasisi zingine nimechagua kwenda zigzag.Kama Jeshi lingekanyaga Katiba sijui tungekuwa wapi,hiyo safari ya kurejea kwenye katiba ingechukua Miaka mingi Sana.Shida yetu kubwa ni weak institutions,Ambazo zimetoka Kwa Katiba ya Chama Kimoja.Huwezi Kuendelea kama unakuwa na cycle za Uongozi bila continuation.Sema Mungu ni mwema akitoka Mzee Ruxa,anawaletea Chuma kama Mkapa,naye akitoka mnaletewa Ruxa 2,kisha Chuma alafu Ruxa3.Tutegemee Chuma tena.Huenda ndiyo cycle yetu.


..mauaji yanayofanywa na Ccm yako consistent hayategemei personality ya Raisi.

..Dr.Shein pamoja na kuonekana muungwana lakini alipindua ushindi wa Maalim Seif, na kumwaga damu za Wazanzibari.
 
Al
Atuombe radh watanzania
ikuwa anailinda Katiba ya Nchi na ndivyo alivyopaswa kufanya kama Mkuu wa Majeshi !

Vinginevyo sisi tuliosomea Cuba tungemshangaa kama angekubaliana na Vilaza waliotaka kupindua meza !!

Kama lawama basi zipelekeni kwenye Katiba ya Nchi na wale walioitengeneza !!
Inapokuja suala la Tume Huru ya Uchaguzi hamuilalamikii Katiba kwamba ni mbaya ila linapokuja suala la kurithishana madaraka kama ilivyotokea ndio kunakuwa na maneno mengi eti Mabeyo amewakosea 😳

Tuache Double Standards zetu !
Mabeyo alifanya kile alichopaswa kukifanya wakati ule wa dharura !
HONGERA SANA GENERALI MSTAAFU MABEYO 🙏🙏🙏🙌 GOD BLESS YOU 🙏🙏🙏
 
Are we talking about Mwinyi in the context of having a cool head in the transition as I implied or you have other interpretations which the JF audience need to be on the same page with you.

Enlighten us please, so that we flow together in the discussion.

No ons is right or wrong in this discussion; as far as I am concerned. But we can learn from each other
Katiba ni mipango na fedha bobu in case ni true badala ya false
 
Huyu mtu ametukosea sana, ambapo watanzania wenzake walipomwambia kwamba tunapotaka kwenda kwa huyu mama (Rais Samia), alikataa kabisa na kuwabishia kwa nguvu.

Tunaomba General Mabeyo aombe radhi kwa watanzania kwa kitendo hiki.

Aidha, tunampongeza Hussein Mwinyi na tunamuunga mkono kwa urais mwaka 2025.
Yani hata ukweli kwamba Mabeyo alihitajika kuamua ni tatizo.

Kwa sababu katiba iko wazi, akifariki rais mtu wa kuchukua urais ni Makamu wa Rais.

Sasa unamuullza Mabeyo nini jambo ambalo katiba imeliweka wazi?

Inawezekana Samia ana natatizo kama rais, lakini mchakato wa alivyoupata urais ni wa kikatiba, hauna tatizo.

Sasa mlitaka nini? Mlitaka nchi iongozwe kijeshi?
 
Mnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).

Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.

Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).

Lissu was a nuisance in the midst of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.

Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).

Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.

Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.

Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.

Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
Nimeufatilia huu uzi ni wewe pekee umekula like za kutosha, hii inamaanisha kuna ukweli kwa asilimia nyingi sana kwa maaana ya daraja "A" kwenye maelezo yako, big up sana
 
Back
Top Bottom