General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

General Mabeyo akapige Sala ya Novena kutuomba msamaha Watanzania

Tunamtaka Majaliwa.
Majaliwa kaathiriwa na magnetic induction ya chura kizuwi!

Kageuka kucheza beat za mziki asioufahamu na anaonekana dhahiri hajui kucheza, ni heri akakaa pembeni akapumzika.

Kwenye awamu ya5 alibeba sifa zote anazostahili kuwa nazo Waziri mkuu, lakini sasa kajigeuza kawa chawa!

Madhila yanayolikumba taifa kwa sasa ni mengi, lakini yeye kimya kabisa kama vile hayupo!

Utamsikia... 'Mama (kwa kutaja wadhifa na jina)katoa pesa kujengea mradi huu'... Wakati akielewa fika kwamba pesa zinazoongelewa ni pesa za Serikali na siyo za fungu la ofisi ya Rais.

Majaliwa wa Magufuli na Majaliwa wa Samia ni mtu na mdogo wake ama huyu wa sasa ni 'crone' ya Waziri mkuu wa awamu ya 5, ambapo huyu ni mwingine kabisa na hafai.
 
Mnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).

Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.

Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).

Lissu was a nuisance at the time of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka acha aelewi somo (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.

Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).

Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.

Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.

Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.

Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
Unaokoteza maoni ya watu yaliyoandikwa tayari unayarudia na kujiona unajua. Kwahiyo Lissu amekuwa sio threat tena kwa national security? Vipi ulitaka Gen Mabeyo afanye nini?
 
Kama unafikiri mobeyo ndo kamuweka hapo we ni mjinga hiyo ni katiba yeyote ambae angejaribu kuivunja angeshtakiwa kwa kosa la uhaini
 
Umeongea ujinga wa hali ya juu kama himjui Yule baba bora ungekaa kimya.

Unaijua historia ya Magufuli kweli?
Inshort.
Akiwa mbunge sehemu walipochagua madiwani upinzani hakuwahi kupita wala kufika.. na hilo alikuwa akilisema wazi..

Alikuwa akiwapatia kesi wapinzani wake tangu akiwa anagombea ubunge.. mfano ni katwale

Mtu ambaye alikuwa hapendi kupingwa.

Amekuwa rais tuliona kodi zetu zikinununua wapinzani. Walioshupaza shingo tuliona walichokipata.

mtu kuwa muumini wa dini haiondoi tabia yake mbaya , huko kwenye ibaada wamejaa wachawi, wazinzi, wauaji, matapeli, n.k usipagawishwe na dini..
Hata magaidi yapo kwenye dini.

Tushukuru Mungu kwa yaliyotokea!
Duuuu ulivyoanza nilijua una hoja kweli kweli damt
 
Mnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).

Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.

Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).

Lissu was a nuisance in the midst of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.

Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).

Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.

Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.

Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.

Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
Natamani uendelee kuandika
 
Huyu mtu katukosea sana watanzania wenzake walipomwambia tunapotaka kwenda huyu mama (Rais Samia) hawezi mziki wake na kuwabishia.

General Mabeyo atuombe radhi watanzania.

Hussein Mwinyi for presidency 2025.
Mabeyo yuko wapi now? Bado anaweza
 
Jeneral si alipambwa sana humu?

Hakuna tiba ya majuto ndani ya ulimwengu huu tulieni dawani iingie ili siku nyingine msilopoke kwa mihemko.

Mama anaupiga mwingi sana hadi unamwagika.
[emoji2936][emoji2935]
 
Majaliwa kaathiriwa na magnetic induction ya chura kizuwi!

Kageuka kucheza beat za mziki asioufahamu na anaonekana dhahiri hajui kucheza, ni heri akakaa pembeni akapumzika.

Kwenye awamu ya5 alibeba sifa zote anazostahili kuwa nazo Waziri mkuu, lakini sasa kajigeuza kawa chawa!

Madhila yanayolikumba taifa kwa sasa ni mengi, lakini yeye kimya kabisa kama vile hayupo!

Utamsikia... 'Mama (kwa kutaja wadhifa na jina)katoa pesa kujengea mradi huu'... Wakati akielewa fika kwamba pesa zinazoongelewa ni pesa za Serikali na siyo za fungu la ofisi ya Rais.

Majaliwa wa Magufuli na Majaliwa wa Samia ni mtu na mdogo wake ama huyu wa sasa ni 'crone' ya Waziri mkuu wa awamu ya 5, ambapo huyu ni mwingine kabisa na hafai.
Huyu majaliwa kwenye ofisi yake unaambiwa kumejaa utitiri wa viongozi waandamizi yote hiyo ni kudhibiti nguvu yake asionekane

Wazi kuna naibu waziri mkuu maana ake nini???
 
Mnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).

Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.

Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).

Lissu was a nuisance in the midst of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.

Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).

Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.

Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.

Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.

Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
I can't buy this bullshit on praise of Magufuli and despise to Tundu Lissu. Mkemia Magufuli hakujua lolote kuhusu sheria za mikataba ndiyo maana mpaka sasa hivi tuna kesi 3 tunalipa fidia kwa mabilioni ya shillingi kutokana na umbumbumbu wa Magufuli
 
Wewd ni mzee wa cheti feki ulitumbuliwa acha chuki na marehemu

Wewe ni mzee wa cheti feki ulitumbuliwa acha chuki
niwe na chuki kwa muuaji?
Uhai wa mtu unagharama zake tu..

Na ndicho aluchokilipia.
 
Unaokoteza maoni ya watu yaliyoandikwa tayari unayarudia na kujiona unajua. Kwahiyo Lissu amekuwa sio threat tena kwa national security? Vipi ulitaka Gen Mabeyo afanye nini?
Kiongozi hii si mada ya ujuaji ni mjadala tu.

Hakuna anaejua zaidi ya mwingine, ni kupeana ufahamu tu humu. Kila mtu anajifunza kutoka kwa mwenzake.

Uhalisia ni kwamba uwezi shitakiwa MiGA. Kwa sababu mikataba ya host government agrement na kampuni yoyote when it comes to dispute resolution; either inakuwa covered kwenye BIT.

Kama nchi hazina makubaliano ya BIT basi dispute resolution itawekwa kwenye stabilisation clause ya HGA.

Hakuna mzungu ataingia mkataba wa biashara hasa nchi za third world bila ya kulindwa na BIT au kuweka stabilisation clause ya dispute resolution.

Ndio maana kila tunaposhitakiwa utasikia wawekezaji wanasema wanatumia BIT.

Sasa yeye wakati wenzake wanafanya yao kakadhana kuwakatisha tamaa. Akiambiwa acha hataki kuelewa.
 
Huyu mabeyo ata Mimi nilimshangaa saana ile kamati ilikuwa sahihi kupindua meza ata yeye mwenyewe bora angekaa kwa kipindi cha mpito zen tungefanya uchaguzi atuombe radhi alibugi saana.
 
Mnamuonea tu mtangulizi wa Samia (Magufuli).

Usalama wa taifa kwenye kutia adabu wapuuzi (tena ukivuka mipaka) kama Dr Ulimboka au Kubenea wanaweza kukuacha na kiłema tu; lakini sio kuuwa.

Hadi ushugulikiwe inabidi uwe tatizo kweli kweli kama Dr Mvungi au Lissu tena kwa kuonywa acha hiyo issue ni ya national security (utaki kuelewa somo), popote duniani utashughulikiwa kama uelewi somo (achana na upuuzi wa utetezi wa CDM).

Lissu was a nuisance in the midst of contract renegotiations kama umesoma mambo ya mikataba ya natural resources renegotiation ukistuka sio jambo jepesi. Yeye Kila akionywa acha aelewi somo anaropoka (let’s be clear Lissu hana uelewa wa maswala ya mikataba) ni maCDM tu ya JF yanaamini anajuwa. Ila Lissu hana uelewa wa FDI contracts that’s finance.

Mtu pekee ambae kitendawili kupotea kwake zama za Magufuli ni Ben Saanae (nadhani ile ilikuwa ajali kazini kwa upande wa usalama).

Mengine ni story tu (yes Magufuli alisumbua watu) including Maxence Melo kabla hajauzoea uraisi akiwa mshamba wa kudhani anaweza zuia habari mbaya.

Lakini sehemu kubwa ya lawama anazopewa ni uzushi tu.

Kilichotokea kipindi chake kuna watu waovu ambao wenye uwezo wa propaganda (it doesn’t take much) to sway the political audience with the help of CDM constant attack to sell the false narrative.

Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
Ilinishangaza sana walivyofanya twisting ya maneno eti mikutano ya siasa imezuiliwa.kweli kuna watu wana roho chafu sana hapa Tanzania.
 
Huyu mabeyo ata Mimi nilimshangaa saana ile kamati ilikuwa sahihi kupindua meza ata yeye mwenyewe bora angekaa kwa kipindi cha mpito zen tungefanya uchaguzi atuombe radhi alibugi saana.
Hawezi omba msamaha kwa kutekeleza majukumu yake. Yako kwenye kiapo na ni core function ya jeshi kikatiba. Which also kiko kwneye kiapo cha askari yoyote nchi hii (Kuilinda katiba ya jmt)
Ungefanya hivyo ingesomeka uhaini, then angeshtakiwa na kuliwekea doa tpdf.

Hayo unayosema yangetokea only kama wazalendo wangekuwa wamoja badalanya kila mtu kutaka kile kiti
 
Ilinishangaza sana walivyoganya twisting ya maneno eti mikutano ya siasa imezuiliwa.kweli kuna watu wana roho chafu sana hapa Tanzania.
Mikutano ya siasa aikuwa zuia bure bure.

Zama JK serikali ilishapata somo, mikutano ya CDM huwa ni kwa lengo la kuhamasisha vurugu tu na maandamano.

Samia kawapa kibali wameangaika we wameona hakuna impact, wamepata sasa opportunity ya maandamano yao.

Wewe nawe unaamini Samia ni wa kuteka na kuuwa watu, tena mtu kama Mangę anakwambia in advance.

Hii ndio shughuli CDM na watu waovu serikalini wanayoiweza.

Magufuli alikuwa na kazi ya kufanya hakuwa na muda huu.

Samia awafanyie nini tena CDM, kila jema analowafanyia wanatafuta namna ya kulivurugua; Magufuli hakuwa na muda wa ku-entertain utoto.

Ni wapi Samia kawakosea CDM kwa matamko hadharani? Hakuna sehemu ni wao ndio wanatengeneza mazingira ya kugombana nae.

Kama tunataka maendeleo kama nchi hatuhitaji wabembelezaji tunataka watendaji.

Ndio ujue yule jamaa katukosea sana

Samia keshawaambia mimi sihusiki, kwanini hayo maandamano yao wasiyaelekeza Lumumba au Central kutaka kujua kulikoni nani mtekaji.

Nah tatizo ni Samia, ndio madhara ya kucheka na CDM hayo.
 
Huyu mtu katukosea sana watanzania wenzake walipomwambia tunapotaka kwenda huyu mama (Rais Samia) hawezi mziki wake na kuwabishia.

General Mabeyo atuombe radhi watanzania.

Hussein Mwinyi for presidency 2025.
Alifanya makosa makubwa lakini CCM ndiyo tatizo. Wewe unaweka makamu wa rais ambaye ndiye anakuwa rais automatically iwapo rais ameshindwa kuongoza awe mtu kama Samia ukitegemea nini?
 
Back
Top Bottom