KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
angekanyaga katiba mngesema piaSometimes common sense has to prevail.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
angekanyaga katiba mngesema piaSometimes common sense has to prevail.
Are we talking about Mwinyi in the context of having a cool head in the transition as I implied or you have other interpretations which the JF audience need to be on the same page with you.angekanyaga katiba mngesema pia
I like him tooTunamtaka Makamba, kijana amekomaa Sana kisiasa. Ni mvumilivu, msikivu na mchapa kazi hodari.
Personal nadhani agenda ya Magufuli ilikuwa reshaping social thinking.Mabeyo alikuwa sahihi kabisa kutaka katiba ifutwe. Kwenye nchi yenye demokrasia changa kama yetu, kuanza kujenga utamaduni wa kukandawija katiba, kwa makusudi tena waziwazi, ni hatari sana kwa ukuaji wa demokrasia yenyewe.
Kama katiba yetu ina walakini, basi tujenge hoja za kuifanyia mabadiliko ili kunapotokea jambo kama hilo la rais kufariki akiwa madarakani, basi katiba ituambie kufanya uchaguzi mwingine na kuchagua tunayemtaka.
Dogo unarudia kosa Lile lile kama la mabeyoHuyu mtu katukosea sana watanzania wenzake walipomwambia tunapotaka kwenda huyu mama awezi mziki wake na kuwabishia.
General Mabeyo atuombe radhi watanzania
Hussein Mwinyi for presidency 2025
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Tunamtaka Makamba, kijana amekomaa Sana kisiasa. Ni mvumilivu, msikivu na mchapa kazi hodari.
Sasa hivi inakandamizwa zaidi. Imethibitishwa Kwa kuitwa KijitabuMabeyo alikuwa sahihi kabisa kutaka katiba ifuatwe. Kwenye nchi yenye demokrasia changa kama yetu, kuanza kujenga utamaduni wa kukandawija katiba, kwa makusudi tena waziwazi, ni hatari sana kwa ukuaji wa demokrasia yenyewe.
Kama katiba yetu ina walakini, basi tujenge hoja za kuifanyia mabadiliko ili kunapotokea jambo kama hilo la rais kufariki akiwa madarakani, basi katiba ituambie kufanya uchaguzi mwingine na kuchagua tunayemtaka.
MkubwaDogo unarudia kosa Lile lile kama la mabeyo
Unaeeka mbele utashi wako binafsi
Takwa letu kama taifa si watu ni mifumo
Mi nadhani hata huyu mama akibadilika akatuletea katiba mpya hatuna noma naye
Ni Mabeyo ama sheria na taratibu zetu?Huyu mabeho anatakiwa kufungwa kifungo Cha maisha jela Kwa kasababisha Nchi yetu kuongozwa na ama sheria na taratibu zetu?mwenye uwezo mdogo na Sasa Kila siku watu wanatekwa na mambo mengine mengi ya kijingakijinga yanafanyika
Ukumbuke mwinyi kwao mkuranga , ni mtanganyika yuleTanganyika haiwezi kuwa koloni la
Umeongea ujinga wa hali ya juu kama himjui Yule baba bora ungekaa kimya.Magufuli hakuwa mtu mmbaya, kwanza alikuwa ni mwamini wa mungu hata kuweka sign za watu wa kunyongwa alikuwa anaogopa.
Tatizo Majaloiwa sio MZENJI, ILA YUKO VIZURI SANA!Tunamtaka Majaliwa.
Nchimbi ni mafiaHussein Mwinyi vs Dr Nchimbi
Wewe ni mzee wa cheti feki ulitumbuliwa acha chukiUmeongea ujinga wa hali ya juu kama himjui Yule baba bora ungekaa kimya.
Unaijua historia ya Magufuli kweli?
Inshort.
Akiwa mbunge sehemu walipochagua madiwani upinzani hakuwahi kupita wala kufika.. na hilo alikuwa akilisema wazi..
Alikuwa akiwapatia kesi wapinzani wake tangu akiwa anagombea ubunge.. mfano ni katwale
Mtu ambaye alikuwa hapendi kupingwa.
Amekuwa rais tuliona kodi zetu zikinununua wapinzani. Walioshupaza shingo tuliona walichokipata.
mtu kuwa muumini wa dini haiondoi tabia yake mbaya , huko kwenye ibaada wamejaa wachawi, wazinzi, wauaji, matapeli, n.k usipagawishwe na dini..
Hata magaidi yapo kwenye dini.
Tushukuru Mungu kwa yaliyotokea!
Chizi weweTatizo Majaloiwa sio MZENJI, ILA YUKO VIZURI SANA!