General Muhoozi akishika madaraka tutafata Tanzania baada ya kuwa DRC wameisha, tujipange

Tutapiga hao kama ngoma tena kwa mgambo tu waiongeze na Burundi kwenye team yao.
 
Kwa JW, huyo jenerali Mkohozi ni mchumba tu
 
Ulimpongeza rais Ndayishimiye kwa sababu ingekuwa ni faida kwa watutsi wenzako wa m23. Hata hivyo Burundi imekanusha taarifa ya kuondoa wanajeshi wake nchini Congo.
 
Ila nyinyi watutsi ni adui wa taifa hili la Tz.
Hivi magaidi ya Kiislamu yamayotaka Tanzania iwe Dola la Kiislamu na Watutsi wetu wa Tanzania wanaojichungia Mifugo yao nani ni "adui"?!
 
Huyu kagame sio wa kupuuzwa anaweza kuleta machafuko makubwa kwenye huu ukanda wa Afrika Mashariki
 
Hivi magaidi ya Kiislamu yamayotaka Tanzania iwe Dola la Kiislamu na Watutsi wetu wa Tanzania wanaojichungia Mifugo yao nani ni "adui"?!
Ni watutsi!

Una jengine?
 
Ulimpongeza rais Ndayishimiye kwa sababu ingekuwa ni faida kwa watutsi wenzako wa m23. Hata hivyo Burundi imekanusha taarifa ya kuondoa wanajeshi wake nchini Congo.
Yamekuwa ni hayo tena mbona huwa nikimpongeza "Mama" hamniiti Mzanzibari?!
 
Ni watutsi!

Una jengine?
Wewe chuki ulizonazo dhidi ya mbari ya Kitutsi huenda ni mabaki ya Wahutu waliofanya Genocide huko Rwanda na kukimbilia huku kwetu Tanzania mwanzo nilikuwa nafikiria kuwa wewe ni Shombe la Kiarabu.
 
Ulimpongeza rais Ndayishimiye kwa sababu ingekuwa ni faida kwa watutsi wenzako wa m23. Hata hivyo Burundi imekanusha taarifa ya kuondoa wanajeshi wake nchini Congo.
Sijawahi kuwapenda hii jamii ya watutsi kwa mienendo yao!

Halafu mpaka hapa Tz maeneo yao wanawabagua wenyeji, wao wanajiona bora.

Hawa ni kuwafukuza wote wakajazane huko Rwanda.

Nchi sijui ndogo hayo ni matatizo ya kwao watajua wenyewe.
 
Umeeleza Mambo mengi Sana kwenye bandiko lako, lakini umewashawahi kujiuliza kwamba Je, waTanzania hawa wa Sasa wako wamoja na Je, kuna utangamano wa kitaifa Kati ya Wananchi kwa Wananchi wenyewe na Kati ya Wananchi na Watawala wao waliopo katika nchi hii?Je, Wananchi wengi zaidi Wana Morali juu ya hali ya mambo jinsi yalivyo katika nchi yao au kuna migawanyiko ya kijamii miongoni mwao?

Kumbuka: Majeshi ya Urusi/Putin yameshindwa kabisa kuiteka Ukraine yote na kuondoa Utawala wa Bw. Zelensky kule Ukraine siyo kwa sababu nchi ya Ukraine imepewa Misaada mingi Sana ya silaha kutoka kwa washirika wake wa Marekani na NATO, Bali ni kwa sababu Wananchi wengi zaidi wa Ukraine wameungana Sana kupita kiasi na Wananchi wengi zaidi pia wanaiunga mkono sana Serikali iliyopo katika nchi yao ya Ukraine.
Silaha tupu peke yake haziwezi kupigana Vita katika Uwanja wa Vita, bali Watu walioungana wenye hamasa na Morali ya Vita ndio wenye uwezo wa kupigana Vita na kuweza kupata ushindi.

Watu hamuwezi kushinda Vita endapo kama mnaingia vitani tayari mkiwa mmegawanyika, hata kama mtakuwa na silaha nzito kiasi gani.
 
Wewe chuki ulizonazo dhidi ya mbari ya Kitutsi huenda ni mabaki ya Wahutu waliofanya Genocide huko Rwanda na kukimbilia huku kwetu Tanzania mwanzo nilikuwa nafikiria kuwa wewe ni Shombe la Kiarabu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Mimi ni mtanzania.

Na siwezi kujificha kama wewe unavyoogopa kujiita mtutsi.

Kwetu Kilwa.

Na siwezi kuongopa!

Upande wa baba asili ni Yemen.

Upande wa Mama kwa Mama yake asili ni Yemen pia.

Mama yake aliolewa na mmakonde πŸ˜ƒ

Ndipo akapatikana yeye!

Hata kwetu ukoo wetu ni mchanganyiko! Wapo waarabu na wapo ambao ni waswahili!

Una jengine?

Ila ukweli utabaki pale pale, nyinyi watutsi hamfai!

Halafu huwa sipendelei kuitwa mwarabu. Sawa bwana imhotep?
 
Kweli kabisa tuliongea humu watafute kandarasi kwenda kulinda mashariki mwa Congo wakatidharau. Muda tu Trump kawaonesha huko Ukraine anaenda kwa maslahi ya kiuchumi
Leo Rwanda anatembea kifua mbele kwamba alivyotua tu CARBO DELGADO waasi walitawanyikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.Wamewapelekea moto waasi na alshababu saivi Rais wa Msumbiji amezidi kuiamini Rwanda na anazidi kusaini mikataba mbalimbali ya kiulinzi Tz ipo inajisifu ilisaidia ukombozi enzi za KUSAKA UHURU.WE ARE DOOMED!!!

πŸ“ŒπŸ“ŒπŸ“ŒWtz tuache UNAFIKI na utani kwenye mambo serious na tuanze kumaanisha kweli!!!
 
Siasa za Kimataifa waachie wenyewe!!! Hasa kuhusu SMO inayoendeshwa na Russia huko Ukraine. Jikite tu hapa hapa Kwetu nadhani wengi wetu tunaweza kukuelewa.
 
M23 msiwachukulie poa, jeshi la congo, afrika kusini, burundi wakisikia m23 wako karibu wanakuja wanaacha silaha wanakimbia, hicho kishindo cha m23 na milio ya mizinga, drones sio mchezo kabisa, jamaa wamejipanga
 
Wewe ni Mhutu unayejificha Kilwa Komera! Komera! Unaogopa nini kusema au unafikiria Max Mello ni Immigration Officer?!πŸ˜πŸ˜†
Sawa! Wala kwangu haina shida!

Wewe niite utakavyoniita wala kwangu haina shida.

Ila swali muhimu jiulize kwa nini ni ninyi?
Tanzania imepakana na nchi ngapi? Ila kwa nini watu wamewaweka nyinyi kwenye kundi maalumu?

Kwa sababu mna matatizo!
Watu wengi wanahofia kuwaambia moja kwa moja.

Mimi sijali nawaambia tu moja kwa moja! Nyinyi watutsi hamfai! Na ni hatari kwa usalama wa hii nchi Tz. Mnapaswa kutangazwa ni adui wa taifa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…