komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Ujinga wa uvccm na bavicha ndio utakaoingamiza nchi. Sijui Kiongozi hani atakayeijenga tena Tanzania kama ya Nyerere kila mtu kujiona mzalendo na fahari ya nchi bila ubaguzi wa kivyama.Basi kama unaona UVCCM Hawa deserve hizo nàfasi tutashauri wawe replaced na BAVICHA. Hapo vipi utakua umefurahi?
We inajulikana unaumwa, na usipotibiwa siku si nyingi hatutakuwa na wewe. Siasa si chuki, CCM haitatolewa hivyo ni kwa mikakati na akiliUVCCM kulivojaa wajinga wanaowaza vyeo na uteuzi unadhani kuna watu wanaoweza kushauri mambo ya msingi kama haya?
Kule ni uchawa tu! Saivi wanakuja na content za vazi la mama! Mwanaume mzima unajirekodi eti kutangaza Vazi la Samia.
Kule kuna maiti sio pa kupategemea. Huko TISS ingawa wamebaki wenye akili wachache ila naskia huko napo imejaa misukule ya CCM hadi wanasikitisha.
Usikatae, hata hii comment yako inaonyesha furaha,, eti wanawasaidia FDLR kuivamia Rwanda. Kwani wewe kama ni Mtanganyika kama mimi Rwanda inakuuma nini kama sio mtusi.Bi Kizimkazi kawatuma wakapigane na sio kulinda AMANI na wamejikuta wakipigana bega kwa bega na FDLR na FDLR wanataka kurudi Rwanda kumalizia kazi walioianza 1994 sasa katika mapigano kuna kufa na kupona je "NIMEFURAHIA" wapi?! kama kuna Comment yeyote ya mimi Imhotep kufurahia iweke hapa?!
Mimi ni Pan Africanist sipendi kuona Jamii yoyote ya Kiafrika inaonewa Afrika kwasasa inatakiwa New Thinking.Usikatae, hata hii comment yako inaonyesha furaha,, eti wanawasaidia FDLR kuivamia Rwanda. Kwani wewe kama ni Mtanganyika kama mimi Rwanda inakuuma nini kama sio mtusi.
Chuki za Kiafrika sote tunazijua,hata Wachaga wanachukiwa hapa Tanzania wacha nikiambie kitu angalia Jamii zote zenye kujielewa zinachukiwa sana na jamii ambzo hazijielewi.
Hapana sisi mtuache kwakweli ,Mimi ni Pan Africanist sipendi kuna Jamii yoyote ya Kiafrika inaonewa Afrika kwasasa inatakiwa New Thinking.
Hujawahi kusikia kuwa Wachaga wanataka Utawala mara Wachaga ni Wapinzani wa Serikali sote tunayajua labda kama huishi Bongo.Acheni hizo narrative, after 20 years zitakuwa zimeiva na mkazifanyia kazi.. hakuna mchaga anayechukiwa labda leta uthibitisho
Yamekuwa hayo tena ?!😆😆😁Hapana sisi mtuache kwakweli ,
Hizo ni siasa zetu, hata leo/jana wasanii wamemsema Heche kiasi kwamba utasema ni ubaguzi. Sie ni waswahili mambo yetu tunajua namna ya kuyapima. Kwa hiyo msemaji wa Simba ana chuki na msemaji wa Yanga? Unajua utani wa makabila Tanzania?Hujawahi kusikia kuwa Wachaga wanataka Utawala mara Wachaga ni Wapinzani wa Serikali sote tunayajua labda kama huishi Bongo.
Hakuna utofauti ma CCM inavyofanya hapa TanzaniaUsifikiri utatuondoa kwenye reli. Unafiki hatuna akili wala macho kuona? Wewe utakua bila shaka mhima mnajifanya mna akili sana kuliko wengine. Ona jinsi museveni anavyotaka kumrirhisha mwanae mhima urais uganda japo mtu mwenyewe chizi. Ona jinsi jeshi la rwanda wote wahima ili kuhakikisha dola inashikwa na watutsi tu. Angalia jinsi kagame na watawala wa kitutsi wanavyoitishia burundi huku hakuna sababu ya maana. Kisa wabantu 'wahutu' wameweza kujitawala baada ya mapigano kujitoa kwenye mskucha ya watutsi wachache.
Tunajua kinachoendelea duniani kwa sasa. Kuanzia Ethiopia mpaka South Africa, Nigeria Sahara ya Magharibi Mauritania etc... na si unajua watanzania ni wambea sana wanaweza kukujua kuliko unavyojijua.Uamekuwa hayo tena ?!😆😆😁
Huwezi kutafiti kwenye jeshi lililojaa raia wa Rwanda na Burundi!Siamini kama unaweza kutafiti mambo ya Jeshi la Tanzania.
uimara wa majeshi ya Uganda na Rwanda ni walipofauĺu kuiba raslimali za DRC na kutumia kununua silaha za kisasa kwa malengo ya muda mrefu. SWOT tuitumie kujitathmini TZTz imesadia Uganda na Rwanda kuwa hapo walipo alete mdomo tuwanyooshee
Chuki za Kikabila hazifai kwenye zama hizi.Hizo ni siasa zetu, hata leo/jana wasanii wamemsema Heche kiasi kwamba utasema ni ubaguzi. Sie ni waswahili mambo yetu tunajua namna ya kuyapima. Kwa hiyo msemaji wa Simba ana chuki na msemaji wa Yanga? Unajua utani wa makabila Tanzania?
Hiyo Tanzania iliyosaidia Uganda na Rwanda unadhani ndio hii ya sasa ya akina mwijaku?. Tukiji changanya safari hii tutapigwa sana na hatutoboi.Tz imesadia Uganda na Rwanda kuwa hapo walipo alete mdomo tuwanyooshee
Ahahahahaha! Endelea kulala ila ukumbuke kuamka kukojoa maana hakuna kitu kibaya kwa baba wa familia kujoa kitandani! Ahahahahaha!!Huwezi kutafiti kwenye jeshi lililojaa raia wa Rwanda na Burundi!
Imagine juzi walikuwa wanachangishana fedhaNchi haiwezi kujifunza kutoka kwenye mkoa,..vita sio unadhifu wa mavazi ,usitishwe na gunboat diplomacy za mkoa ule, na kule congo dr wanakofanya fujo ni collapse state nchi haina mwenyewe, nchi haina jeshi