Sawa Ngongo ila serikali hii unayoipongeza ndiyo iliua GT husasan Waziri wa sasa Abdalah Kigoda; watu wamekosa kazi miaka 10. Serikali imekosa mapato.
Mkuu Mgaya D.W ni kweli serekali haiatawekeza ila imeipatia fedha NDC kuandaa mazingira mazuri [Matengenezo] ya kuvutia wawekezaji huku serekali ikibakiza hisa nyingi mikononi mwake.Tayari makampuni ya Ujerumani,Malasia,Brazil na Uturuki yameshatoa offer kwa NDC namna gani watakavyowekeza iwapo watachaguliwa.NDC wapo katika hatua za mwisho za kumpendekeza mbia mwenye kukidhi vigezo wanavyovitaka ikiwemo technology ya kisasa,uwezo wa mtaji.
Serekali pia itayatoa mashamba ya mpira yaliyoko Tanga na Morogoro kama sehemu ya mtaji wake.
Heshima kwenu wanajamvi,
Wakuu General Tyre inafanyiwa ukarabati mkubwa wa majengo na mashine/mitambo kwaajili ya kuanza uzalishaji mwakani Mungu akipenda.NDC wamekabidhiwa kazi ya kuifufua General Tyre tayari mafundi umeme wameshaanza kazi ya kubadilisha nyaya za umeme chakavu.Jengo la utawala limeshamaliziwa kupigwa rangi na matengenezo madogo madogo yanafanyika kwa kasi ya ajabu.
Inatarajiwa kabla ya mwakani kati ya mwezi wa tatu hadi mwezi wa tano mitambo mipya na yenye technology ya kisasa itafungwa katika eneo lilojulikana kama New bay.Mitambo iliyokuwa ikitumika zamani na bado ina ubora wa sasa ni ile iliyokuwa ikizalisha tairi ndogo Grabber AP 215 R 15 / 205 R 16 / 31 X 10.5 R 15 LT / 165 R 13 / 175 R 14 / 185 R 15/14.Pia mould za matari size 750 - 16 HCT 8PLY,10PLY & SHCT 12PLY itaendelea kutumiwa kwakuwa tairi zake bado zinahitajika sokoni hasa magairi aina ya Land Rover & Land Cruiser kwa safari za porini[Utalii].
Naipongeza serekali kwa hatua nzuri ilizoanza kuzichukua naamini ongezeko kubwa la magari Tanzania ni soko la uhakika kwa matairi ya General Tyre.Tusisahau pia soko la EA bado liko wazi sana pamoja na kampuni ya kuzalisha matairi ya KENYA kuiba technology ya General Tyre hasa tyre 750 - 16 HCT 10 ply bado halijafikia ubora wa tairi la Genral Tyre nina hakika siku uzalishaji ukianza YANA ya Kenya watafunga virago Tanzania.
Nakala: Ritz PakaJimmy TUMBIRI Matola Crashwise sweke34 mayega Mimibaba Jasusi Mtambuzi Mwita Maranya zumbemkuu Dotworld Nyange OSOKONI Mzee Mwanakijiji Richard Molemo BAK Mzee wa Rula Bigirita zomba Nyumbu Pasco Kubwajinga Mchambuzi Nguruvi3 Invisible samora10 Arushaone kitalolo Roulette The Boss MpendaTz Mkusa Mag3 MVUMBUZI na wengine wote
Naomba kuwasilisha.
Nadhani tatizo ni gharama za kufufua reli zetu kulinganisha na viwanda (baadhi).Key Stakeholders kwa hili ni Sekta ya Usafiri; Mimi huwa najiuliza - kwanini mkazo ni mkubwa sana kufufua General Tyre badala ya kulipa nguvu zaidi shirika letu la reli? Wapi kuna faida zaidi kiuchumi? Kwa maana nyingine - between a well functioning TRC/TRL and a well functioning General Tyre, wapi tuna add more value in terms of economic growth, employment and inflation on a macro scale?
Miaka ya 1970s, TAZARA ilipingwa kwa nguvu zote na kada hii hii inayoipigia debe kufufuka kwa General Tyre, na walipinga ujio wa TAZARA kwa hoja nyingi nyepesi nyepesi na za ovyo lakini baadae ikaja kubainika kwamba kumbe ni kwasababu TAZARA ingeua soko la matairi ya mabasi na malori kutoka kiwanda cha Firestone, Kenya;
With all due respect kwa efforts za kukufua Kiwanda hiki, hasa kutoa ajira kwa ndugu zetu wa Arusha, sioni General Tyre itasaidiaje uchumi wa taifa ikifananishwa na TRL in terms of - economic growth, employment, na tatizo la mfumuko wa bei; Hakuna taifa lililosonga mbele na linalo survive leo bila ya a well functioning railways system; Sasa kwa vile Kiwanda cha GT kinalenga sekta ile ile ya usafiri wa mizigo, bidhaa za kilimo, wananchi n.k, tuendelee nayo lakini tusiache TRL;
Sawa Ngongo ila serikali hii unayoipongeza ndiyo iliua GT husasan Waziri wa sasa Abdalah Kigoda; watu wamekosa kazi miaka 10. Serikali imekosa mapato.
Key Stakeholders kwa hili ni Sekta ya Usafiri; Mimi huwa najiuliza - kwanini mkazo ni mkubwa sana kufufua General Tyre badala ya kulipa nguvu zaidi shirika letu la reli? Wapi kuna faida zaidi kiuchumi? Kwa maana nyingine - between a well functioning TRC/TRL and a well functioning General Tyre, wapi tuna add more value in terms of economic growth, employment and inflation on a macro scale?
Miaka ya 1970s, TAZARA ilipingwa kwa nguvu zote na kada hii hii inayoipigia debe kufufuka kwa General Tyre, na walipinga ujio wa TAZARA kwa hoja nyingi nyepesi nyepesi na za ovyo lakini baadae ikaja kubainika kwamba kumbe ni kwasababu TAZARA ingeua soko la matairi ya mabasi na malori kutoka kiwanda cha Firestone, Kenya;
With all due respect kwa efforts za kukufua Kiwanda hiki, hasa kutoa ajira kwa ndugu zetu wa Arusha, sioni General Tyre itasaidiaje uchumi wa taifa ikifananishwa na TRL in terms of - economic growth, employment, na tatizo la mfumuko wa bei; Hakuna taifa lililosonga mbele na linalo survive leo bila ya a well functioning railways system; Sasa kwa vile Kiwanda cha GT kinalenga sekta ile ile ya usafiri wa mizigo, bidhaa za kilimo, wananchi n.k, tuendelee nayo lakini tusiache TRL;
Miaka 10 iliyopita "serikali hii" haikuwepo madarakani.
Mkuu Mgaya D.W ni kweli serekali haiatawekeza ila imeipatia fedha NDC kuandaa mazingira mazuri [Matengenezo] ya kuvutia wawekezaji huku serekali ikibakiza hisa nyingi mikononi mwake.Tayari makampuni ya Ujerumani,Malasia,Brazil na Uturuki yameshatoa offer kwa NDC namna gani watakavyowekeza iwapo watachaguliwa.NDC wapo katika hatua za mwisho za kumpendekeza mbia mwenye kukidhi vigezo wanavyovitaka ikiwemo technology ya kisasa,uwezo wa mtaji.
Serekali pia itayatoa mashamba ya mpira yaliyoko Tanga na Morogoro kama sehemu ya mtaji wake.
Key Stakeholders kwa hili ni Sekta ya Usafiri; Mimi huwa najiuliza - kwanini mkazo ni mkubwa sana kufufua General Tyre badala ya kulipa nguvu zaidi shirika letu la reli? Wapi kuna faida zaidi kiuchumi? Kwa maana nyingine - between a well functioning TRC/TRL and a well functioning General Tyre, wapi tuna add more value in terms of economic growth, employment and inflation on a macro scale?
Miaka ya 1970s, TAZARA ilipingwa kwa nguvu zote na kada hii hii inayoipigia debe kufufuka kwa General Tyre, na walipinga ujio wa TAZARA kwa hoja nyingi nyepesi nyepesi na za ovyo lakini baadae ikaja kubainika kwamba kumbe ni kwasababu TAZARA ingeua soko la matairi ya mabasi na malori kutoka kiwanda cha Firestone, Kenya;
With all due respect kwa efforts za kukufua Kiwanda hiki, hasa kutoa ajira kwa ndugu zetu wa Arusha, sioni General Tyre itasaidiaje uchumi wa taifa ikifananishwa na TRL in terms of - economic growth, employment, na tatizo la mfumuko wa bei; Hakuna taifa lililosonga mbele na linalo survive leo bila ya a well functioning railways system; Sasa kwa vile Kiwanda cha GT kinalenga sekta ile ile ya usafiri wa mizigo, bidhaa za kilimo, wananchi n.k, tuendelee nayo lakini tusiache TRL;
Sawa nyani haoni kundule