Yani unaambiwaje Tanzania hamna tena kiwanda! unachoongelea wew kilisha kufa mda sana!
Nimekubali nini?
Mtu anakuja anajisifu yeye kamuondosha aliyekuwa anaendesha kiwanda, baada ya hapo nini kimetokea? yeye si alibaki?
Hivi huwa mnaelewa mnachokisoma au hamuelewi, hizo porojo nyinyi mnazikubali, Kajiingiza mkenge mwenyewe na kashindwa kujibu hilo, eti "umekubali". Nimekubali nini? huu ujinga?
Nani asiyejuwa viwanda vimeuliwa na nani? ni haohao waliopewa fursa za upendeleo za kusomeshwa kwa kuchaguliwa leo wanakuja kulalamika.
Juzi Kikwete kawapa live Dodoma.
Ulitaka wanyamaze kisa wamesomeshwa.?! Anayetaka wanyamaze kesha bemendwa huyo.halafu humu kuna wengine ni malimbukeni na hawajielewi khasa.! Wanajikomba mpaka hurumaaaa.! Ulimbukeni mbaya jamani.! Sijui ni shida au utapi tapi wa nafsi.?!
Hivi ile wizara yetu ya VIWANDA huwa yenyewe ina deal na viwanda gani!!!
Nimekubali nini?
Mtu anakuja anajisifu yeye kamuondosha aliyekuwa anaendesha kiwanda, baada ya hapo nini kimetokea? yeye si alibaki?
Hivi huwa mnaelewa mnachokisoma au hamuelewi, hizo porojo nyinyi mnazikubali, Kajiingiza mkenge mwenyewe na kashindwa kujibu hilo, eti "umekubali". Nimekubali nini? huu ujinga?
Nani asiyejuwa viwanda vimeuliwa na nani? ni haohao waliopewa fursa za upendeleo za kusomeshwa kwa kuchaguliwa leo wanakuja kulalamika.
Juzi Kikwete kawapa live Dodoma.
Nimekubali nini?
Mtu anakuja anajisifu yeye kamuondosha aliyekuwa anaendesha kiwanda, baada ya hapo nini kimetokea? yeye si alibaki?
Hivi huwa mnaelewa mnachokisoma au hamuelewi, hizo porojo nyinyi mnazikubali, Kajiingiza mkenge mwenyewe na kashindwa kujibu hilo, eti "umekubali". Nimekubali nini? huu ujinga?
Nani asiyejuwa viwanda vimeuliwa na nani? ni haohao waliopewa fursa za upendeleo za kusomeshwa kwa kuchaguliwa leo wanakuja kulalamika.
Juzi Kikwete kawapa live Dodoma.
........Wakiristoooo!
Mkuu TANELEC bado kipo ila kinasuasua sana. Kimechukuliwa na Jamaa toka Kenya Baada ya Wanorway waliokianzisha kuondoka.
Ila ninasikia hali yao ya uzalishaji imeshuka mno baada ya Tanesco kuacha kununua Transformer zao jambo lililosababisha mwaka huu kiwanda hicho kupunguza wafanyakazi zaidi ya hamsini.
Tanesco wananunua Transformer nje.(China na India)na kuacha kununua nyumbani.
Nafikiri hivi viwanda vifanyiwe documentary ya kuvielezea ....waandishi wa habari ebu fanya hii kazi tena kipindi hiki cha uchaguzi watanzania wajue kwa nini 1US$ ni TZS 2050 kwa sasa.....tembelea viwanda vyote fanya documentary! Inauma sana....
Nchi hii tutalia sana,maana tumekubali kuongozwa na siasa,wataalamu hatuwasikilizi nao wakaamua kuwa wanasiasa,km mnakumbuka kulikuwa na kiwanda cha viatu morogoro,majeshi yetu yote viatu vilikuwa vinatoka morogoro,nenda leo utakuta ni mbuzi wanalala kiwandani
Haaa haaa aliuza formula ya 7.50 - 16 HCT YANA ni Kipingu swala tano aliyesimamia zoezi na kufanya safari za kwenda Kenya mara kwa mara ni Philip Mweta Quality Assurance Manager wakati kabla hajapelekwa sales huyu naye ni muislam swala tano usibabishwe na hilo jina ni la kusomea tu alichukua nafasi ya mgalatia aliyefaulu baada ya yeye kufail.
Sales and Marketing Manager enzi za Mwl Nyerere alikuwa Kibwana swala tano huyu kazi yake kubwa ilikuwa ni kuoa akina Mama kila mwaka.Mke wake wa mwisho alikuwa mrembo wa Air Tanzania baada ya kuiba vya kutosha akakimbilia kugombea ubunge akashindwa mwanamke mrembo akamkimbia siku hizi nasikia kaolewa na Maulid Kitenge kama mke wa pili.
Suala ya kufa viwanda halina uhusiano na dini ya mtu lakini kwakuwa umekimbilia mkondo huo si vibaya nikikupa za uso.
Viwanda vyote na mashirika ya umma yote waliuwa hao "waliosomeshwa" kwa upendeleo.
Leo wanajifanya hawajuwi kuwa wao ndiyo waliuwa hivyo viwanda kwa kuiba, uzembe, ubadhirifu, kutokuwajibika, kutokukujuwa kazi, ndugunaizesheni, uvivu, ulevi, rushwa, kukosa nidhamu makazini, fitina, majungu na uozo wa kila aina.