Yani unaambiwaje Tanzania hamna tena kiwanda! unachoongelea wew kilisha kufa mda sana!
Hapana mkuu .vipo vingi tu kamaa vya pombeeee., vya maji a.k.a .vimiminikaaa naaaa vya magyodorooo.! Mbona vingi tu ujue mwanzo wa hesabu ni moja ivooh.!
Maana yake hapo ni tunywe., tule kisha tuendelee kulala huu uthingidhi mwitu wetu.,
Haya na mwingine aseme....!
CCM OYEEEH......!