Ungesoma magazeti ya mwanahalisi ya wakati huu labda ungenielewa.Mimi ndio nilimfanya Devendrah akakimbia Tanzania nasema mimi tena bila kificho.Mimi ndio niliandika barua Tanzania Investment Bank Rose Soloka akatimuliwa.Tangu atimuliwe kahakikisha ajira yake inakuwa siri yake na mumewe.
General Tyre ilikuwa na wafanyakazi 300 makao makuu kwa nafasi yangu nilitetea ajira ya wafanyakazi ambao wengi kwa uelewa mdogo walikuwa wakilaani sana kila article ya kuponda uongozi wa GT ilipotoka kwenye magazeti mbali mbali ilifika hadi chama cha wafanyakazi kikawa kinajibu hoja zangu.
System ya nchi ilikuwa imelala laiti wangechukua hatua mapema hakika leo tungekuwa tunatembelea magari yetu na tyre general.