The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
Ndiyo maana Tanzania itaendelea kuwa masikini kwa ujinga huuNimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania Ina rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Huyu anazeeka vibayaNimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania Ina rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Hajataja mtu yeyote lakini mbona unamtajia list ya watu!?Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Acha uchawa wewe!Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
CCM wajinga sn wameharibu nchi yetuWazee wachache waliobaki na upeo wa mambo makubwa.
Nisikitikia sana nchi yangu naada ya miaka 20 wazee watakao kuwepo.
Yeye anazungumzia Katiba na taasisi ya Urais hamzungumzii Samia, hivi ujinga utawaisha lini nyie vibaraka wa CCM?Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Aibu kubwa sn kukubali kuongozwa na wajinga
Hawa UWT hawana akili mkuuYeye anazungumzia Katiba na taasisi ya Urais hamzungumzii Samia, hivi ujinga utawaisha lini nyie vibaraka wa CCM?
Katiba ya hovyo kabisa, ndiyo maana mimi simpendiNyerere ndie aliyetuachia hii Katiba ya Kitemi.
HajadanganyaNimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania Ina rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Sasa hapo wewe na ulimwengu nani mwenye hiyo afya akili🤣Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
🚮Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Amezungumzia nafasi ya urais hajamtaja yeyote kati ya uliowataja. Kwani wewe unafahamu rais wa JMT anawajibika kwa mamlaka ipi?Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili