Generali Ulimwengu: Miaka 60 baada ya uhuru tuna rais mfalme hawajibiki kwa mamlaka yoyote

Generali Ulimwengu: Miaka 60 baada ya uhuru tuna rais mfalme hawajibiki kwa mamlaka yoyote

Watanzania bana, yaani sijui mnataka Rais wa aina gani, Nyerere mbaya, Mwinyi ooh tv zimezagaa, Mkapa aah huyu alizidi kutuua njaa na kufunga mikanda bana na akauza mali za nchi na kwenda kujenga SA.

Ni Jakaya asee huyu mifuko haikuchacha, ukimuomba mtu 1000 anakupa 5000 japo huyu naye aliuza na kujigawia mali zetu hadi rizione akajenga sheli mara maroli nk.

JK akasema si mnataka mtendaji, watu NDIYOOOO mara paap John Joseph Pombe Magufuri huyu hapa, wananchi weraa weraaaaa!.

Nchi imepata kiongozi sasa, mzee baba kaanza kuitengeneza nchi na kuwafundisha jinsi mnavyotakiwa kuishi, ile hajafika nusu 😂, miruzi kama yote gafla bin vuu kalala, huku ameacha shangwe ...

Haijakaa sawa nikawaambia msishangilie kabla ya kuvuka mto, mpeni muda huyu 😂 😆 😂 yako wapi, hey nyie kiko wapi sasa?.

Leo kila mtu analo anarudi kwake bila kuaga kutoka kijiweni 😁!.
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania Ina rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Ni hatari kabisa kwa mustakabali wa Tanzania yetu. Rais anaweza kufanya chochote asihojiwe na yeyote yuko juu ya Sheria. Na Katiba ya aina hiyo wapo wanaoitetea kwa karne hii
 
Lazima kuwe na Mamlaka yenye nguvu zote na maamuzi yote ya mwisho.
Yeye anawajibika kwa watoto wake...nikitolea mfano tu...yaani kuna muda anawaachia watoto wake utawala wa familia?
 
Hivi huwa kuna uwazi kiasi hichi kwetu!
1730818407717.png
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania Ina rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Enzi Jenerali Ulimwengu akiwa Mkuu wa Wikaya ya Ilala, Wilaya iliongoza kwa rushwa, uchafu na barabara mbovu
 
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.

Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Really ????

Kwamba technically Katiba yetu haionyeshi ni vipi Wabunge wanaweza kumuondoa President ? Ofcourse practically ni vigumu (kama ilivyo kwa nchi nyingi) ila technically its possible...
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania Ina rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Nilikuwa sijaelewa nikiwa pale soko la Kisutu mtu mmoja akasema "timu zishindwe zenyewe ila goli liko wazi"
 
Really ????

Kwamba technically Katiba yetu haionyeshi ni vipi Wabunge wanaweza kumuondoa President ? Ofcourse practically ni vigumu (kama ilivyo kwa nchi nyingi) ila technically its possible...
Problem wanakuwa appointed na rais and they can be removed anytime, think about it, kabla hawajapanga huo mpango rais can fire them all na kuanza upya
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.

Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.

Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Apumzike jeneral yeye alitakiwa kuliona wakati ule naye ni mfalme!
 
Problem wanakuwa appointed na rais and they can be removed anytime, think about it, kabla hawajapanga huo mpango rais can fire them all na kuanza upya
Rais anaweza kufukuza wabunge ?

In really sense tatizo ni Politics za Dunia nzima sasa hivi zimekuwa za maslahi na matumbo ya watu, and nothing to do with the betterment of Common Mwananchi...

Hata Kenya Vice President ametoka kwa zengwe na kukosa kwake a political (klaut , pesa au wadau)... Ni kama huku Ndugai alivyopigwa zengwe kwa watu ku sense opportunity ya kupata Cheo, au labda kupewa chochote kuendeleza Uchawa..., Kama Margaret Thatcher alivyokuwa ousted (power struggle) au Republican walivyoshangilia Impaechement ya Clinton lakini Trump alifanya worse na wakamtetea...

Moral of the Story
: The Political System has been a Joke worldwide for quite some time...
 
Rais anaweza kufukuza wabunge ?

In really sense tatizo ni Politics za Dunia nzima sasa hivi zimekuwa za maslahi na matumbo ya watu, and nothing to do with the betterment of Common Mwananchi...

Hata Kenya Vice President ametoka kwa zengwe na kukosa kwake a political (klaut , pesa au wadau)... Ni kama huku Ndugai alivyopigwa zengwe kwa watu ku sense opportunity ya kupata Cheo, au labda kupewa chochote kuendeleza Uchawa..., Kama Margaret Thatcher alivyokuwa ousted (power struggle) au Republican walivyoshangilia Impaechement ya Clinton lakini Trump alifanya worse na wakamtetea...

Moral of the Story: The Political System has been a Joke worldwide for quite some time...
Offcourse as mwenyekiti wa chama, she can simply cut them off
Mfumo wetu una flaw na loophole nyingi, yes ya wenzetu ina shida pia but si critical kama wa kwetu
No place kiongozi mkuu ataweza wajibishwa kwa lolote kwa chochote hata kama akivuruga
 
Back
Top Bottom