Open school
JF-Expert Member
- Jul 13, 2015
- 1,158
- 1,746
Wamenyang'anywa nyenzo ya kufikiri na chama chao.Hawa chawa ni wapumbavu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamenyang'anywa nyenzo ya kufikiri na chama chao.Hawa chawa ni wapumbavu sana.
Kwani alitoa maagizo kwamba katiba hiyo ndio msahafu wa milele Tanzania?Katiba ya hovyo kabisa, ndiyo maana mimi simpendi
Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Mzee ulimwengu ni mmoja wa wabunge waliounda umoja ulioitwa G-55 ambao ulianzisha hoja ya kuwepo serikali ya Tanganyika. Hivyo mzee Ulimwengu hakuwa kijana wa mwalimu Nyerere.Nashukuru sana kwa kunielewa
In short, kwa standard za jenerali ulimwengu ktanzani ni ya mfalme who is not accountable to any, which is not true
Amemuacha Nyerere because alikua kijana wa nyerere
I have lived long enough to see Mwingi, mkapa and jakaya being scrutinized
Magu was a different cloth
Tatizo huku baadhi ya watu hata basic hoja wanataka iwe concluded as ccm vs chakadomoz
Wamenyang'anywa nyenzo ya kufikiri na chama chao.
CCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuhaHuna haja ya kwenda mbaaali na kutoa poooovu
Sisi ji wale chakademus tulioumizwa na cha chetu kuuzwa 2015 kwa vipande vya Pesa
😆😆😆ukute ninyi ndio munaojiita wasomi hivi umemuelewa Ulimwengu?kuna alipomtaja Samia?Watanzania bana, yaani sijui mnataka Rais wa aina gani, Nyerere mbaya, Mwinyi ooh tv zimezagaa, Mkapa aah huyu alizidi kutuua njaa na kufunga mikanda bana na akauza mali za nchi na kwenda kujenga SA.
Ni Jakaya asee huyu mifuko haikuchacha, ukimuomba mtu 1000 anakupa 5000 japo huyu naye aliuza na kujigawia mali zetu hadi rizione akajenga sheli mara maroli nk.
JK akasema si mnataka mtendaji, watu NDIYOOOO mara paap John Joseph Pombe Magufuri huyu hapa, wananchi weraa weraaaaa!.
Nchi imepata kiongozi sasa, mzee baba kaanza kuitengeneza nchi na kuwafundisha jinsi mnavyotakiwa kuishi, ile hajafika nusu 😂, miruzi kama yote gafla bin vuu kalala, huku ameacha shangwe ...
Haijakaa sawa nikawaambia msishangilie kabla ya kuvuka mto, mpeni muda huyu 😂 😆 😂 yako wapi, hey nyie kiko wapi sasa?.
Leo kila mtu analo anarudi kwake bila kuaga kutoka kijiweni 😁!.
Wanakwambia wanadumisha amaniAjabu sana hii. Tukiwa tunaishi kwenye giza nene, jirani tu hapo Kenya kuna mwanga.
Last week nilikuwa hapo bungeni, nikamwambia mshikaji ukiwaona na misuti utadhani watu wa maana, kumbe hawawezi kuifanya chochote serikali
AbsolutelyCCM ina hazina kubwa sana ya wapumbavu na majuha
Thank makes two of usyeye anaizungumzia mamlaka ya Rais, wewe unataja mijina! hopeless!!!!!!
JESUS is Savior
You don’t to mention any name😆😆😆ukute ninyi ndio munaojiita wasomi hivi umemuelewa Ulimwengu?kuna alipomtaja Samia?
Correction : You don't have to mention any name...You don’t to mention any name
Unless huna D mbili
He implied
Lakini hakusema isibadilishwe mkuu, ni vile tu sisi em wameamua kushupaza shingo kusifia tu.Nyerere ndie aliyetuachia hii Katiba ya Kitemi.
Kwani aliyo ongea ni uongo ?Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Kwa CCM ukweli wanaita uchocheziKwani aliyo ongea ni uongo ?
Mwandiko wa la Saba B huu.Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Wapi mzee WariobaWazee wachache waliobaki na upeo wa mambo makubwa.
Nasikitikia sana nchi yangu baada ya miaka 20 wazee watakao kuwepo.
| (1) Leo siku ya tatu katika mwezi wa Juni | (1) Today is the third day in the month of June |
| Kazaliwa Bwana wetu King George Sultani | When was born our lord and sultan King George |
| Jamii ya wote shime andameni Mkongeni | Everyone hurry up and proceed to Mkongeni |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (2) King George ni mwana wa King Edward | (2) King George is the son of King Edward |
| Amezaliwa Ulaya nchi ya upande wa kaskazi | He was born in Europe in a country to the north |
| Kama tujuavyo yeye ni pekee asadi17 | As we know he is a special lion |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (3) Watakutana mabwana wakubwa na wadogo | (3) The noble and the lowly will participate |
| Hapazuiwi kijana akuambiaye ni mrongo | No youth will not be denied; whoever tells you otherwise is a liar |
| Wala fujo hapatakuwa ya mafimbo na magongo | Nor will there be disturbances with sticks or clubs |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (4) Siku hiyo ni siku ya furija na anasa18 | (4) This day is a day of celebration and entertainment |
| Atakayejaliwa kwenda furaha hatakosa | Whoever attends will certainly be happy |
| Kwani ni siku ya idi bashasha yatupasa | For it is a holiday and we are expected to be joyful |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (5) Atahudhuria Gavana bwana wa Tanganyika | (5) His Lord the Governor of Tanganyika will attend |
| Siku hiyo mwenye nishani itampasa kupachika | On this day whoever has medals should wear them |
| Asiyekuwa na mwana hata jiwe ataeleka19 | The one without children should carry a stone |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (6) Akina Bwana Askari hupanda wao farasi | (6) The soldiers will mount their horses |
| Mwendo wao taratibu kama mwendo wa papasi | They will pass slowly by, at the speed of a tick |
| Kuwaonyesha raia mambo yasiyo kiasi | To show the citizens extraordinary things |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (7) Tazameni ibura ya Mfalme kuwa Ulaya | (7) Look at this extraordinary celebration for a king who is in Europe |
| Huko mambo mbayana kama amehudhuria20 | There [at Mkongomeni] things will be celebrated as though he were attending |
| Jamaa ukaidi wani mbona mtaangamia21 | What’s the point of being stubborn lest you be destroyed?22 |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (8) Kuna wingi wa Polisi wazuiao hatari | (8) There are many police to prevent danger |
| Wapitisha kwa kiasi zote pia motakari | They only allow selected motorcars to pass |
| Hiyo ndiyo dunia wala nyingine haiwi | That is indeed how the world is. It cannot be otherwise |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (9) Mfalme King George wote mnamjua | (9) Sovereign King George all of you know him |
| Kwa alama za mataji mara utamjua | By the symbol of his crowns you’ll immediately recognize him |
| Na utakapo ya zaidi soma utajua | And if you want to know more, read about him |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (10) King George ana sifa kupenda wake raia | (10) King George is known for liking his subjects |
| Walio bora na hafifu wote twamfurahia | The upper and lower classes we all are happy for him |
| Tumwombee Rabuka huruma amzidishie | Let us pray to God will show more mercy to him |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |
| (11) Sifa hapa zimekoma mwaka huu najaribu | (11) The praises end here, this year I am trying |
| Labda nitapata yangu huwa bahati nasibu | Perhaps I will have my luck |
| Sikukaa nasimama nangoja yangu matulubu23 | I am not sitting, I stand, waiting to get what I expect |
| Tukatazame heshima ya maulana King George. | So we see respect paid to His Highness King George |