Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu mzee bado yuko hai hadi muda huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu ambacho hujakielewa hapo; yeye hajatuhumu mtu, ametuhumu katiba so kwa maneno mengine ni kwamba kwa katiba hi tulionayo, hata yeye akija kua rais hali itakua hiyo hiyo. Hajamtuhumu mtu yeyote hapo; again, hili sio jambo jipya, hata mwalimu Nyerere aliwahi kulidokeza hili jambo tena akiwa bado madarakani; kwamba katiba ile, rais ni kama Mungu mtu. Ni wewe tu ndio hujamuelewa Jenerali UlimwenguHuyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Hapa umefikiria au uhai na pumzi ya bule ndo vimekupa ujasiri wa kuandikaHuyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Si kweli!Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Ni kweliKitu ambacho hujakielewa hapo; yeye hajatuhumu mtu, ametuhumu katiba so kwa maneno mengine ni kwamba kwa katiba hi tulionayo, hata yeye akija kua rais hali itakua hiyo hiyo. Hajamtuhumu mtu yeyote hapo; again, hili sio jambo jipya, hata mwalimu Nyerere aliwahi kulidokeza hili jambo tena akiwa bado madarakani; kwamba katiba ile, rais ni kama Mungu mtu. Ni wewe tu ndio hujamuelewa Jenerali Ulimwengu
Endeleeni na UCHAWA-UBWELALoh! Wewe yawezekana hujawahi kuwa na akili timamu. Umeshindwa hata kuelewa hoja yenye mantiki ya Generali Ulimwengu, umeishia kuropoka!! Ikiwa hoja iliyoletwa imeuzidi upeo wa akili yako, si lazima uchangie, unaweza kusoma tu michango ya wenye uelewa, mawazo yao yakakufanya upige hatua japo kidogo ya uelewa.
Hahaaaa umemaliza huyu anaona anazeeka v8 anaziona kwenye tv so wacha propose kwa stressHuyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Una akili kiduchu sana mkuu.Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Shida CCM wanashindwa kujaribu kuweka nia... wapo CCM wenye uwezo wa kuongoza vizuri mno....Katiba ya hovyo kabisa, ndiyo maana mimi simpendi
Lakini si huyu huyu Ulimwengu alimlaani JPM na kumsifu na kumpamba Mama? Soma makala zake za EANimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Bunge lipi!? Au hujui linatekleza ilani? Na Au wabunge waliopo ni wa wp!? Na wanazngka kukagua uteklezaj wake (wamama kwa wazee, hadi watt wao)! Jaribu usijichaflie jina, tofautisha nadharia na hali halisi.Si kweli!
Baraza la mawaziri wanaweza kumuondoa rais madarakani.
Na kwa mujibu wa ibara ya 56A ya katiba, Bunge linaweza kumuondoa rais madarakani.
P
Challenges ipi hapo au upuuzi tu huo? Huwa nasema siku zote shule za kata ni tatizo zinazalisha wajinga wengiThis is your bottom line
Abuse to the gender - and that sums up akili yako
Tatizo hampendi challenges
Mtu anayekuambia kaboka lako limetoboka makalioni anakuwa mbaya?Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Katika nchi yenye bunge lipi?Umeanza vichekesho!Si kweli!
Baraza la mawaziri wanaweza kumuondoa rais madarakani.
Na kwa mujibu wa ibara ya 56A ya katiba, Bunge linaweza kumuondoa rais madarakani.
P
Kinoma noma.Noma sana!
Soma Ibara ya 56A ya katiba ya JMT ya mwaka 1977Katika nchi yenye bunge lipi?Umeanza vichekesho!
Mzee wa chato hakutakiwa kuwa rais.Watanzania bana, yaani sijui mnataka Rais wa aina gani, Nyerere mbaya, Mwinyi ooh tv zimezagaa, Mkapa aah huyu alizidi kutuua njaa na kufunga mikanda bana na akauza mali za nchi na kwenda kujenga SA.
Ni Jakaya asee huyu mifuko haikuchacha, ukimuomba mtu 1000 anakupa 5000 japo huyu naye aliuza na kujigawia mali zetu hadi rizione akajenga sheli mara maroli nk.
JK akasema si mnataka mtendaji, watu NDIYOOOO mara paap John Joseph Pombe Magufuri huyu hapa, wananchi weraa weraaaaa!.
Nchi imepata kiongozi sasa, mzee baba kaanza kuitengeneza nchi na kuwafundisha jinsi mnavyotakiwa kuishi, ile hajafika nusu 😂, miruzi kama yote gafla bin vuu kalala, huku ameacha shangwe ...
Haijakaa sawa nikawaambia msishangilie kabla ya kuvuka mto, mpeni muda huyu 😂 😆 😂 yako wapi, hey nyie kiko wapi sasa?.
Leo kila mtu analo anarudi kwake bila kuaga kutoka kijiweni 😁!.
Ipo kinadharia tu.Kivitendo haiwezekani kwa zama hizi za- a)CCM kujimilikisha/kuhodhi nguvu zote kimaamuzi- b)Kuwa na bunge ( na judiciary?) joga linaloogopa mzizi uliojichimbia chini zaidi-c)wananchi waliozubaa na wamebaki na hewala bwana.Soma Ibara ya 56A ya katiba ya JMT ya mwaka 1977
P
Mkuu ufalme wa rais wa Tanzania unatokana na ukondoo, umbumbumbu na umaiti wa watanganyika wenyewe!!!Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria