Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WEWE ni mjinga, hakuna UHUSIANO wa Kuzeeka na ukweli aliongea.Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Katiba Mpya ndio inayohitajika, kwa mfumo wa sasa hata Lissu akiwa rais, atapingwaHuyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Vice Versa..., Theoretically Kikatiba inawezekana..., kama ilivyo nchi karibia zote..., ila practically ni ngumu (kama ilivyo nchi zote) ingawa kwa Tanzania ni ngumu zaidi kutokana na nguvu na mizizi ya CCM..., mfano Kenya nchi ya shareholders na ukabila kila mwaka kabla ya uchaguzi vinatokea vyama vingine vya kuundwa ili waweze kupata kura ili waweze kula....Theoretically Not but practically YES
Saa hizi ni saa 7.45 usiku tumelala, tukiamka utuambie unachokisema labda tutakuelewa.Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.
Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.
Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Kipi hujaelewa au ndo usingizi!?Saa hizi ni saa 7.45 usiku tumelala, tukiamka utuambie unachokisema labda tutakuelewa.
Usingizi, bado tumelala.Kipi hujaelewa au ndo usingizi!?
Hhuna akili sawa sawa wewe. Ulimjua lini ulimwengu? Kama ni kuzeeka vibaya mbona asimseme vibaya KAMBARAGE? Jifunze kusoma utamuelewa?Huyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Shuke ni nni mpuuzi wewe?Hapana ni mwema sana
İla mtu
kabisa
Na mmeongezeka sana miaka yetu wapuuzi design yako hawakufika mbali
Actually the biggest problem sio tu shuke za kata, Bali mitandao kuwa accessible to people like you
Umeshajiuliza kizazi cha 2000 uzee waoWazee wachache waliobaki na upeo wa mambo makubwa.
Nasikitikia sana nchi yangu baada ya miaka 20 wazee watakao kuwepo.
Ukitoka hapo unamsifia Putin kuwa ni bonge la Rais.Ndiyo maana Tanzania itaendelea kuwa masikini kwa ujinga huu
Bro ccm haifikiri mbele wao wanawaza kushinda uchaguzi basi..Umeshajiuliza kizazi cha 2000 uzee wao
Wewe nawe yeye anaongelea katiba wewe unawaza watu..kwani tangu hao wote umewataja katiba iliishabadirika??? Yeye shida yake ni mfumo sio mtuHuyu anazeeka vibaya
Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake
ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma
Afya ya akili
Sijawahi kumsifia huyo shetaniUkitoka hapo unamsifia Putin kuwa ni bonge la Rais.