Generali Ulimwengu: Miaka 60 baada ya uhuru tuna rais mfalme hawajibiki kwa mamlaka yoyote

Generali Ulimwengu: Miaka 60 baada ya uhuru tuna rais mfalme hawajibiki kwa mamlaka yoyote

Nikiskia watu wanamsifu Nyerere huwa namuogopa mtu mweusi ni mnafiki na anaishi kwa kujidanganya.
 
Napendekeza rahis wetu mtukufu mwenye maono, mpendwa na mpendeka, akapendeza aitwe mungu yaishe na afurahi na viumbe wake wote wakubwa na wadogo hasa chawa na kunguni. Amina.
 
Lakini hakusema isibadilishwe mkuu, ni vile tu sisi em wameamua kushupaza shingo kusifia tu.
Kila Mtawala akiikuta hiyo Katiba inayompa Nguvu za Kimungu anaona inamfaa anaiacha labda sisi Wapinzani tukiingia lakini pia sisi tukiingia who knows...😂🤣
 
Kila Mtawala akiikuta hiyo Katiba inayompa Nguvu za Kimungu anaona inamfaa anaiacha labda sisi Wapinzani tukiingia lakini pia sisi tukiingia who knows...😂🤣
🤣🤣🤣 Mkuu hata mimi nikiingia kwa kiti dahh🙌 nitafunika kombe tu.
 
😆😆😆ukute ninyi ndio munaojiita wasomi hivi umemuelewa Ulimwengu?kuna alipomtaja Samia?
General ni mhandishi wa habari, hawezi kuandika kama mwalimu wa std 2 kwamba kila kitu uelewe!.
 
05 November 2024
Wananchi Geita wamuomba mheshimiwa rais popote alipo aingilie kati mafuriko Geita leo 5 November


View: https://m.youtube.com/watch?v=T2f3mN_67Zo&pp=ygUPTWFmdXJpa28gR2VpdGEg

Mafuriko yameikumba stendi ya Geita na mitaa ya mji huo na wakaazi wamlilia mama aliangalie suala hilo.

Mvua inayonyesha Geita imesababisha pia wananchi waombwe kuhama toka mabondeni ...
 
Kweli tupu yupo juu ya sheria na katiba
Ni sahihi. Kwa namna alivyo Rais wa Tanzania, mamlaka yake ni kama ya shetani. Shetani hana mpaka wa kutenda kazi, ana uwezo wa kuhadaa wote wote, wakati wote na kwa kiwango atakacho.

Tungekuwa tuna Rais alite chini ya katiba na anayetakiwa kutii katiba, siku ile Rais Samia alipotamka kuwa katiba ni kijitabu, ingekuwa ndiyo mwisho wa Urais wake. Lakini kwa namna Rais wa Tanzania ilivyo, Samia angeweza hata kutamka kuwa katiba ni toilet paper, na wala kusingetokea chochote.
 
Huyu anazeeka vibaya

Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake

ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma

Afya ya akili
Loh! Wewe yawezekana hujawahi kuwa na akili timamu. Umeshindwa hata kuelewa hoja yenye mantiki ya Generali Ulimwengu, umeishia kuropoka!! Ikiwa hoja iliyoletwa imeuzidi upeo wa akili yako, si lazima uchangie, unaweza kusoma tu michango ya wenye uelewa, mawazo yao yakakufanya upige hatua japo kidogo ya uelewa.
 
Huyu anazeeka vibaya

Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake

ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma

Afya ya akili
Mpumbavu yeyote yule huwa anaacha kujadili hoja anajadili mtu, hiyo ni sifa kuu ya mpumbavu
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.

Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.

Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Aisee kuna ukweli mchungu hapo
 
Loh! Wewe yawezekana hujawahi kuwa na akili timamu. Umeshindwa hata kuelewa hoja yenye mantiki ya Generali Ulimwengu, umeishia kuropoka!! Ikiwa hoja iliyoletwa imeuzidi upeo wa akili yako, si lazima uchangie, unaweza kusoma tu michango ya wenye uelewa, mawazo yao yakakufanya upige hatua japo kidogo ya uelewa.
Lazima useme hivi

Because nimegusa mfupa
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.

Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.

Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Yuko sahihi kabisa, na ile sheria yenye nguvu kuliko sheria na katiba ya amri toka juu, mzizi wake ni mamlaka haya ya kifalme ya rais.
 
Back
Top Bottom