Generali Ulimwengu: Miaka 60 baada ya uhuru tuna rais mfalme hawajibiki kwa mamlaka yoyote

Generali Ulimwengu: Miaka 60 baada ya uhuru tuna rais mfalme hawajibiki kwa mamlaka yoyote

Mamlaka ya Urais wa nchi yetu ni ya kifalme. Yaani kwa mfano leo Rais Samia hata akitaka kufanya lolote lile liwe baya ama zuri kwa nchi HAKUNA mamlaka yoyote ya kuhoji ama kumwajibisha kisheria - mbaya zaidi hata akistafgu pia haipo.

Hizi chaguzi huwa ni kiini macho - yeye ana uwezo wa kuwaambia wasaidizi wake nipeni wabunge idadi hii, madiwani idadi hii na kura zangu ziwe idadi hii - hakuna wa kuhoji wala kuguna.

Ni kweli hii nchi ni ya kifalme.
 
Offcourse as mwenyekiti wa chama, she can simply cut them off
Mfumo wetu una flaw na loophole nyingi, yes ya wenzetu ina shida pia but si critical kama wa kwetu
No place kiongozi mkuu ataweza wajibishwa kwa lolote kwa chochote hata kama akivuruga
Mwenyekiti wa Chama anaweza akafukuza wanachama wake wote ambao at that given time ndio wabunge ? Hata akifanya hivyo wanaweza kwenda mahakamani na kuwa wabunge wa mahakama (thoretically) kwahio tu pull it off sio rahisi..., kama ilivyo nchi nyingine zote to pull something off sio rahisi; (Ndio maana Republicans wanamkumbatia Trump) ingawa ni tofauti na normal Republicans ila ndio hivyo anawaletea mkate wa kila siku (Kura za kuweza Kula)

By the way they is a possibility that a Convicted Criminal could the next US President in the next coming days..,; Kwahio talking about loopholes they are everywhere in every country Political System...; Dawa pekee ni kuwa na informed Citizens ambao wanaweza kusema enough is enough..., asking for now na sio miaka mitano ijayo au kwa kuona kitu fulani hakipo sawa kukidai sasa hivi na sio kuongelea Sheria inasema nini (Sababu kama Katiba ni Sheria na Sheria zinavunjwa kila leo) Basi utamaduni wa kuendelea kuvunja Sheria utaendelea hata kama Katiba ikiandikwa na Malaika....
 
Mamlaka ya Urais wa nchi yetu ni ya kifalme. Yaani kwa mfano leo Rais Samia hata akitaka kufanya lolote lile liwe baya ama zuri kwa nchi HAKUNA mamlaka yoyote ya kuhoji ama kumwajibisha kisheria - mbaya zaidi hata akistafgu pia haipo.

Hizi chaguzi huwa ni kiini macho - yeye ana uwezo wa kuwaambia wasaidizi wake nipeni wabunge idadi hii, madiwani idadi hii na kura zangu ziwe idadi hii - hakuna wa kuhoji wala kuguna.

Ni kweli hii nchi ni ya kifalme.
Kwamba hio ipo Kikatiba; Yaani wizi umeruhusiwa kwenye Katiba ? Au kuvunja Katiba ndio Katiba....
 
Mamlaka ya Urais wa nchi yetu ni ya kifalme. Yaani kwa mfano leo Rais Samia hata akitaka kufanya lolote lile liwe baya ama zuri kwa nchi HAKUNA mamlaka yoyote ya kuhoji ama kumwajibisha kisheria - mbaya zaidi hata akistafgu pia haipo.

Hizi chaguzi huwa ni kiini macho - yeye ana uwezo wa kuwaambia wasaidizi wake nipeni wabunge idadi hii, madiwani idadi hii na kura zangu ziwe idadi hii - hakuna wa kuhoji wala kuguna.

Ni kweli hii nchi ni ya kifalme.
Kama alivyofanya yule wa Chato,katuachia genge la wahuni mjengoni wanapitisha kila urojo unaoletwa na serikali kwa vile waliingizwa mjengoni na dola na siyo wapiga kura na kwa maana hiyo utii wao ni kwa serikali iliyowapa ulaji.
 
Mwenyekiti wa Chama anaweza akafukuza wanachama wake wote ambao at that given time ndio wabunge ? Hata akifanya hivyo wanaweza kwenda mahakamani na kuwa wabunge wa mahakama (thoretically) kwahio tu pull it off sio rahisi..., kama ilivyo nchi nyingine zote to pull something off sio rahisi; (Ndio maana Republicans wanamkumbatia Trump) ingawa ni tofauti na normal Republicans ila ndio hivyo anawaletea mkate wa kila siku (Kura za kuweza Kula)

By the way they is a possibility that a Convicted Criminal could the next US President in the next coming days..,; Kwahio talking about loopholes they are everywhere in every country Political System...; Dawa pekee ni kuwa na informed Citizens ambao wanaweza kusema enough is enough..., asking for now na sio miaka mitano ijayo au kwa kuona kitu fulani hakipo sawa kukidai sasa hivi na sio kuongelea Sheria inasema nini (Sababu kama Katiba ni Sheria na Sheria zinavunjwa kila leo) Basi utamaduni wa kuendelea kuvunja Sheria utaendelea hata kama Katiba ikiandikwa na Malaika....
Kuna loop holes lakini pia kuna mifumo ya kumuwajibisha kiongozi kwa misconduct yoyote itakayo athiri nchci kwa lolote

Leo hii her excellence akiamua kuwafuta uanachama baadhinya wabunge , wata nung,unika mitandaoni but hawatochukua hatua yoyote ile, why? Rais huyo huyo ana appoint judges, even speaker lazima awe kuna baraka zake.
Do you think unaweza kwenda head to head na head of state ambae almost ana teua wakuu wa taasis kwenye mihimili muhimu ya nchi?
We all know nini kitatokea

But fanya the same marekani, bunge lenyewe linaweza kuku impeach, rais na madaraka yake but kuna vyombo vina act kama check and balance, almost kila muhimili unajitegemea kikweli kweli

Hapa bongo wanaweza? I dont think so
 
Uhuni wa kuwanyang'anya watu uraia ulianzishwa na Mkapa na ulianzia kwake.

Baada ya kupokonywa uraia wakadhani wamemfunga mdomo, kumbe wapi bw!
Kweli kabisa

Ulikuwep enzi za mwalimu?? He did that
 
Huyu anazeeka vibaya

Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake

ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma

Afya ya akili
Poapoa tumekusikia. Haya turudi kwenye mada husika.
 
Kuna loop holes lakini pia kuna mifumo ya kumuwajibisha kiongozi kwa misconduct yoyote itakayo athiri nchci kwa lolote

Leo hii her excellence akiamua kuwafuta uanachama baadhinya wabunge , wata nung,unika mitandaoni but hawatochukua hatua yoyote ile, why? Rais huyo huyo ana appoint judges, even speaker lazima awe kuna baraka zake.
Do you think unaweza kwenda head to head na head of state ambae almost ana teua wakuu wa taasis kwenye mihimili muhimu ya nchi?
We all know nini kitatokea

But fanya the same marekani, bunge lenyewe linaweza kuku impeach, rais na madaraka yake but kuna vyombo vina act kama check and balance, almost kila muhimili unajitegemea kikweli kweli

Hapa bongo wanaweza? I dont think so
A sitting president of the United States has both civil and criminal immunity for their official acts. Neither civil nor criminal immunity is explicitly granted in the Constitution or any federal statute.

The Supreme Court of the United States found in Nixon v. Fitzgerald (1982) that the president has absolute immunity from civil damages actions regarding conduct within the "outer perimeter" of their duties. However, in Clinton v. Jones (1997), the court ruled the court ruled against temporary immunity for sitting presidents from suits arising from pre-presidency conduct. Some scholars have suggested an immunity from arrest and criminal prosecution as well, a view which has become the practice of the Department of Justice under a pair of memoranda (1973 and 2000)

What about Pardon:
The president of the United States is authorized by the U.S. Constitution to grant a pardon for a federal crime. The other forms of the clemency power of the president are commutation of sentence, remission of fine or restitution, and reprieve. A person may decide not to accept a pardon,

Moral of the Story: Ni wananchi kuwa informed ili chochote ambacho hakipo sawa no matter hata kama kipo legally waweze kukibishia haijalishi wapi au wakati gani..., bila hivyo dunia ya leo ya mwenye nacho kutaka zaidi ukitegemea Sheria ambayo ipo favored kwa the strongest wananchi wa dunia nzima wataendelea kuwa watazamaji huku wakiendelea na DUA zao za KUKU..., Case in Point Gen Z's wa Kenya walikuwa na argument ya kweli baada ya muda wamepoa ila kilichokuwepo kabla bado kinaendelea na kitaendelea
 
Yeye anazungumzia Katiba na taasisi ya Urais hamzungumzii Samia, hivi ujinga utawaisha lini nyie vibaraka wa CCM?
Huna haja ya kwenda mbaaali na kutoa poooovu

Sisi ji wale chakademus tulioumizwa na cha chetu kuuzwa 2015 kwa vipande vya Pesa
 
Nimemsikia akiongea mahali mchambuzi huyu wa mambo ya kisiasa anasema Tanzania ina Rais jina tu lakini kiuhalisia mamlaka ya rais wa Tanzania ni ya kifalme.

Sii Baraza la mawaziri wala bunge lenye mamlaka ya kumfanya chochote rais wa Tanzania.

Kwa maana hiyo rais yuko juu ya Sheria
Inaudhi na kusikitisha sana, tumelaaniwa wapi?
 
Huyu anazeeka vibaya

Magu alikua mbaya kwake
Mkapa pia alikua mbaya kwake
Samia ni mbaya kwake

ILA yeye tu ndio mzuri kwa umma

Afya ya akili
Mpumbafu sana wewe! Kuna chochote alichokosea Generali au wewe tu ndio watumia nywele kufikiri? Tumia akili kidogo basi!
 
Ajabu sana hii. Tukiwa tunaishi kwenye giza nene, jirani tu hapo Kenya kuna mwanga.

Last week nilikuwa hapo bungeni, nikamwambia mshikaji ukiwaona na misuti utadhani watu wa maana, kumbe hawawezi hata kuifanya chochote serikali
 
Aujamuelewa

Anachozungumzia hapo ni katiba na sheria wala si chuki kwa mtu binafsi
Nashukuru sana kwa kunielewa

In short, kwa standard za jenerali ulimwengu ktanzani ni ya mfalme who is not accountable to any, which is not true

Amemuacha Nyerere because alikua kijana wa nyerere

I have lived long enough to see Mwingi, mkapa and jakaya being scrutinized

Magu was a different cloth

Tatizo huku baadhi ya watu hata basic hoja wanataka iwe concluded as ccm vs chakadomoz
 
Mpumbafu sana wewe! Kuna chochote alichokosea Generali au wewe tu ndio watumia nywele kufikiri? Tumia akili kidogo basi!
Mpumbavu wewe, mama yako, baba yako, familia yako, Kama unafuga basi hiyo Mifugo mipumbavu, na wapumbavu zaidi jibu zao wako au hata Mali uanzomiliki

Shenzy type

Challenge me kwa hoja
 
Back
Top Bottom