DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
hao ni wa82 hawafai kabisaUnamaanisha Hawa kina Makonda na Sabaya?
Yule unaweza kuta Ni mkubwa kwa Kassim Majaliwa kiumri.Bila shaka unazungumzia akina komredi polepole !
Musiba yuko 50+yearsVijana akina Heri James, Magoti, Musiba, ...etc unawaongeleaje?m
Wakivaa fulana nyeusi zenye kuwaka maeneo ya vifuani. Muda wote wanaongea na simu au wanasikiliza radio mpaka wanagongwa na malori njiani, halafu wanavaa sana suruali za kubana na vinywele kama fidodido ukiwakuta wamepigwa na jua muda wote wanakuwa wanavichezea vinywele vyao kwa sababu kichwa kizima kinawasha.Unaiongelea hii generation inayo vaa suruali chini ya makalio?
Umemsahau MdudeVijana akina Heri James, Magoti, Musiba, ...etc unawaongeleaje?