Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Wanapiga selfie wakiwa wameng'ata midomo, ni shidaaahHawa wa kupaka lipstick za dada zao, kulamba vidole, na kujisifia wana ngozi soft inayong'aa? Hebu kuwa serious Mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapiga selfie wakiwa wameng'ata midomo, ni shidaaahHawa wa kupaka lipstick za dada zao, kulamba vidole, na kujisifia wana ngozi soft inayong'aa? Hebu kuwa serious Mkuu
Wanachonga nyusi kabisa, muda wote wanagombania vioo na dada zao, wanaogopa jua eti watakuwa weusi! Hiko kizazi ni stupid mnooWanapiga selfie wakiwa wameng'ata midomo, ni shidaaah
Mimi ni Surveyor by professional, hivi vitoto vilivyograduate survey karibuni ukiingia navyo chaka by saa 5 asubuhi tu vimeshatepeta, Enzi zetu tulikuwa tunaingia pori saa 1 asubuhi kutoka saa 12 jioni, no kula no kupumzika, ni kushindia soda na bites tuWanapiga selfie wakiwa wameng'ata midomo, ni shidaaah
Ukiwakuta wamesimama vituo vya mabasi na jeans zao za kubana unaweza kudhani ni wa maana sana kumbe hovyo kabisa.Wanachonga nyusi kabisa, muda wote wanagombania vioo na dada zao, wanaogopa jua eti watakuwa weusi! Hiko kizazi ni stupid mnoo
Halafu wanadai wakabidhiwe bongo eti ni wakati wao kutamba!. Mayai sana hawa vijana.Mimi ni Surveyor by professional, hivi vitoto vilivyograduate survey karibuni ukiingia navyo chaka by saa 5 asubuhi tu vimeshatepeta, Enzi zetu tulikuwa tunaingia pori saa 1 asubuhi kutoka saa 12 jioni, no kula no kupumzika, ni kushindia soda na bites tu
Mkuu akikujibu nitaarifuUnamaanisha Hawa kina Makonda na Sabaya?
Mkuu wote kuanzia 1980 >hao ni wa82 hawafai kabisa
Mkuu nakubaliana nawe, maana kwa nchi yetu mpaka sasa generation ya 1940 ndio nadhani ilikuwa bora. Pindi hicho hakuna kiongozi alijiona ni bora kuliko mwingine, vyama vya wafanyakazi vilikuwa na nguvu katika mambo yao. Wakulima walikuwa wapata mbolea bure ama ruzuku, wanamuziki walitunga/waliimba nyimbo mafundisho na hekima, Katiba yao iliheshimiwa, hakuna aliyekuwa juu ya sheria maana tumewaona mawazili, mabalozi, wakurugenzi wa mashirika makubwa kama BoT nk wakichukuliwa hatua na kupelekwa mahakamani kwa mujibu wa sheria na sheria kuchukua mkondo wake. Ni wakati MIHIMILI YOTE YA NCHI kuheshimiana na kufanya kazi zao kwa mujibu wa KATIBA. Mazuri yalikuwa mengi sana.Nimecheka sana na kusikitika! Wengine tunafikiria hii generation itaishia wapi wewe ndio unaona wakombozi? Generation bora imekuta baba zao wanateketeza nchi, hadi generation hii (generation bora) inazeeka bado baba zao wanateketeza nchi. Kifupi generation bora nchini haikupata nafasi, kwasababu hadi leo generation ya 50s ndio inafanya maamuzi.
Hao wote washakuwa wazeeVijana akina Heri James, Makonda, Magoti, Musiba, ...etc unawaongeleaje?
Wakuanzia 1990 ndiyo machawa zaidi ya Ccm,Huu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.
Unamaanisha Hawa kina Makonda na Sabaya?
😂😂😂😂😂😂
Ukomboziwa kweli unaletwa na strategic plan sio generation.Generation ya 2010s ndiyo italeta ukombozi
Hayo mavazi yapo hata kabla ya muungano wa tanganyika na zanzibar.Vijana hawa waliozaliwa 90 wengi wanependa miziki hii ya kuvaa vinguo vya kubana hata hawafautilii siasa