Generation ya kuanzia 1990's ndiyo italeta ukombozi wa kisiasa hapa Tanzania

Uzi umejaa millennials
Mleta mada anaongelea 'Gen z'

Generation z, ya watu waliozaliwa kati ya 1994 mpaka 2010

Wapo smart zaidi kuliko generation zilizopita, tofauti ni kwamba hawapo kwenye sekta nyeti

Corrupted leaders wengi waliojaa kwenye siasa za Afrika na hata hawa mnaowachukia hapa nyumbani sio hiko kizazi
Ni wazee waliozaliwa kwanzia 80 kurudi chini
 
kwan kila aliezaliwa hio miaka anaanya ivo?
Hio inaitwa Poisoning the well..
Ni fallacy kwenye majadiliano

Kwa kuwa Adolf hitler alikua vegetarian basi kila vegetarian kwake ni dikteta...

Watu hawajui kizazi kinabadilika.....mostly ya wapiga kura wa hovyo na political fanatics ni 1989s kurudi nyuma
 

kua kiongozi kunahitaji critical reasoning sehem penye shida paonekane pana njia, sasa kama umemaliza tu chuo umeshindwa kutumia elimu kutoka kimaisha unataka kumwongoza nan?
 
kua kiongozi kunahitaji critical reasoning sehem penye shida paonekane pana njia, sasa kama umemaliza tu chuo umeshindwa kutumia elimu kutoka kimaisha unataka kumwongoza nan?
Kwahio kumaliza chuo pekee yake ndio nini?
Nchi haina infrastructure yoyote ya kulea entrepreneurs, ajira pia hakuna halafu unataka mtu akitoka chuo overnight awe na stable income?

Nchi imekaliwa na wazee kwenye sekta nyingi muhimu zinazofanya maamuzi thus why mnawekewa tozo mpaka kwenye Luku na mnaona it's ok tu

Na niliposema infrastructure unaelewa na maana gani?
 

entrepreneurs hua wanalelewa? do you even know what it means to be an entrepreneur?

1) umemaliza chuo umepata elimu haya sasa apply elimu yako umeshindwa unataka kuapply nn kwenye uongozi?
2) Hivi nani huyo anawalea kwamba ajira ni lazima? how much does an employee take home and how much does your boss take home?

3) Tozo zmekuja juzi hazina hata miezi miwili, kama haukua na ujinga ungekua basi ushafika mbali, tozo ishakua kikwazo tena na zmekuja juzi, huo tunaita upumbavu

4) You have failed in everything already as you are not educated from only the few sentences you have typed, endelea kupigikka vizuri
 
Mkuu, nilidhani una mada, kumbe unatania?
 
Sisi wa 70s ndiyo tuliathiriwa sana na hao wa generation baby boomers ya 50s...Walitukosesha ajira, wameturithisha ufisadi etc...Hakuna kizazi kimeathirika kama chetu...Full frustrations!
 
Kwa hiyo hata baba yako na mama yako ni makatili?
 
Hakuna kitu kinaitwa ukombozi ila yatakuwepo mageuzi, 1990 haiwezekani labda sema kuanzia Y2K yaani 2000 na kuendelea maana ndio mwanzo wa karne ya 21
 
Hawa vijana wanaovaa mlegezo boxer nje?
 
Ndio maana niliuliza unajua maana ya Infrastructure?

Jibu lako linaonyesha sio tu hujuia nini maana ya infrastructure kulingana na context ya comment yangu hapo juu, bali hujui tu hata unachosimamia

Aliyekudanganya entrepreneurs hawalelewi nani?
Unajua kina nani wanahusika ku fund startups mpaka zinapokua na kuanza kuingiza revenue

Nataka ku fanya freelancing kwenye nchi ambayo hata Paypal haitambuliki?
Seriously?

Halafu mi sijapigika kishamba kama wewe... We umepigika mpaka kiakili[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…