Huu ndo ukweli CCM imekataliwa na most of people.
Wengi ni vijana waliozaliwa 1990s
Hivyo kizazi cha hakina kayafa kinabidi kiishe chote.
Hiki kizazi cha 1950+ kimejaa watu makatili waliopoteza utu na Heshima na wanaofanya siasa za chuki na kukomoana.
Pendekezo vyama vya upinzani makini wapeni vijana nafasi.