Generation ya kuanzia 1990's ndiyo italeta ukombozi wa kisiasa hapa Tanzania

Kizazi cha mashoga na wataka vitonga kitaweza wapi?
 
kwann nsikifaham mkuuu na nmekua nacho mda mrefu
Subiri utaelewa! ORODHA YA MAVUNO bado haijaisha - ilianzia CHATO ikaja USHETU na itaendelea mpaka TABORA. Pale TABORA inaweza kuondoka na HK hata kabla ya mwaka 2025. Kwahiyo mjipange, msirudie makosa kama ya BWANA MKUBWA wenu.
 
Subiri utaelewa! ORODHA YA MAVUNO bado haijaisha - ilianzia CHATO ikaja USHETU na itaendelea mpaka TABORA. Pale TABORA inaweza kuondoka na HK hata kabla ya mwaka 2025. Kwahiyo mjipange, msirudie makosa kama ya BWANA MKUBWA wenu.

yule jamaa alikuaga mpole sana na mvumilivu, mm wala nisingeangalia nyuma, tungeanza na pale pale kwenye fly over si mlikua mnaona hazina maaana basi piteni njia ingine apo unapita ukiwa na kadi ya uanachama wa ccm tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…