Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Kamati nzima ya ulinzi ya wilaya na ya mkoa yafaa iwajibishwe inakuaje yote yanatokea na wapo tu.Nani alimpa askari, magari, silaha nk Ili akafanye uhalifu.Hata wale askari wanaonekana kwenye ccctv nao wakamatwe
Alikuwa anavaa Hadi Sare za Polisi. Kijana alikuwa na nyodo Sana.
 
Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya

View attachment 1808499

Kwa yeyote mwenye kumjua mpambe mwingine aliyetumika kufanya uhalifu na Sabaya amuweke hapa ili tuisaidie serikali .
Hawezi pona huyo mbwiga ataingia kwenye 18 za wanaume
 
Magufuri alikuwa mtu katili sana hakuwa binadamu wa kawaida. Alikuwa akimtuma makonda kukamata watu na kuwapeleka ikulu
 
Back
Top Bottom