Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Alichosema ni kwamba "Kweli mzee nimechukua kiasi hicho, ila ni kwaajili ya kujiandaa na uchaguzi mkuu huu unaokuja 2020, nimefanya hivyo kukisaidia Chama ili kisitumie hela nyingi kanda ya kaskazini, na nakuahidi Mbowe namuangusha uchaguzi huu. Harudi bungeni. Hizi hela nimechukua kutoka kwa mfanyabiashara anaempa Mbowe jeuri ya kampeni ili nimuangushe Mbowe".
Haya maongezi uliyadukua mkuu, hadi ku'paraphrase' hivi?

Sihoji uovu wa hao wawili; lakini nina shaka, wewe ulipataje maneno ya uhakika hivi?
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA

View attachment 1808431
Ushahidi
 
Huyu OCD WA HAI KAMANDA SIRRO NI KASHFA KWAKO MTOE MAANA NDIO ALIKUWA ANAKILINDA KIKUNDI CHA SABAYA NA HATA SILAHA ALIZOKUWA ANATUMIA SABAYA NA GENGE LAKE ALIPEWA NAE NA UKIANGALIA MAENEO MENGI WALIOFANYA UHALIFU WALIKUWA PAMOJA
 
Kumbe Wamachame my waoga hivi ...yaani mtu alieapanda kichwani mnamwangalia tu....aisee hata kumroga mlishindwa! Huyu angekuwa kwetu Kalenge angetulia tu...muulizeni Happi alitulia mwenyewe akabaki jukwaani tu!
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA

View attachment 1808431Ahh
 
Kwa hiyo sasa hivi tutegemee kuona ujambazi ukipungua mitaani siyo? Maana sabaya liko sero
 
Kumbe Wamachame my waoga hivi ...yaani mtu alieapanda kichwani mnamwangalia tu....aisee hata kumroga mlishindwa! Huyu angekuwa kwetu Kalenge angetulia tu...muulizeni Happi alitulia mwenyewe akabaki jukwaani tu!
Retaliation inafanywa kisomi bwashee,sasa hivi yuko ananyea kisado,baada ya hapo atakuwa free ball for anyone to give a kick
 
Hata kama unasema huyo Sabaya alikuwa juu ya huyo mama , basi huyo mama alishindwa hata kumchukuliia hatua afisa Ardhi wa Hai ambae yeye mama alijua kuwa alikuwa corrupt?
Kama afisa ardhi alikuwa anapewa back up na Jambazi saambaya hakuna namna Mama angeweza kumfanya lolote bila ridhaa ya hili Jambazi saambaya!

Twende mbele turudi nyuma, hata Mama Mgwira alikuwa anakaa kimya ili kujilinda maisha yake. Maana Jambazi ni kama alipewa ruhusa ya kumtoka roho yeyote atakayeonekana kuwa kikwazo kwenye harakati zake za "kuutokomeza upinzani Kilimanjaro na Arusha."
 
Kilichofanywa na sabaya Ni zaidi ya uhuni, kupewa ukuu wa wilaya ilikuwa Ni bahati Sana kwa kweli...
 
Kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya na ya mkoa nazo ziwajibishwe kwann zikikaa kimya hadi afanye uhalifu wote huo
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.......
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa ra
Kwani hizo taasisi ndio zinateua viongozi?
Muuulize anaefanya Teuzi....hakupewa hzo taarifa....

Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
 
Labda maji yakimfika shingoni huyo Sabaya, atawataja wote aliokuwa akipiga nao dili pamoja
Hali yake ni mahamumu,j3 anapanda kizimbani kili na j5 manyara,atapelekwa n dom,dar kote huko kapiga matukio
 
Back
Top Bottom