Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya

View attachment 1808499

Kwa yeyote mwenye kumjua mpambe mwingine aliyetumika kufanya uhalifu na Sabaya amuweke hapa ili tuisaidie serikali .
Tanganya toto, hakuna kitu hapo....
 
Nimeyakumbuka maneno ya Rais wa awamu ya 6 Mhe.Samia Suluhu Hassan aliwahi kusema ktk.moja ya mikutano yake "Tabia yako inakufuata " sasa kama awali ali foji ID tena ya chombo cha usalama wa nchi na nothing happened.
 
Kwa mwendazake, Sabaya alikuwa juu ya mama. Nashangaa hilo umeshindwa kuliona.

Hata kama unasema huyo Sabaya alikuwa juu ya huyo mama , basi huyo mama alishindwa hata kumchukuliia hatua afisa Ardhi wa Hai ambae yeye mama alijua kuwa alikuwa corrupt?
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
Hata weye ulikuwa unajua kilichokuwa kinaendelea!!! Na hukuchukua hatua yeyote kama raia wa nchi hii, hukufanya kitu kwa kuwa ulilinda uhai wako. Mtu kama OCD angefanya nini naye alilinda kibarua chake.
 
Watakuambia kama uhalifu aliufanyia Hai mbona mashtaka yamefunguliwa Arusha hivyo OCD hayajui mabaya ya huyu kada.
 
Jiwe alikuwa ni katiri na alitafuta makatiri wenzie waonee raia... Ukatiri wa Jiwe nadhani ni wa kutisha sana hawa kina Saba na Makondakta ni sehemu tu ya mifano ya ukatiri wa Jiwe... nilisikia Jiwe alishampasua mtu kwa risasi ya kichwa kikapasuka ndani ya white house... isije kuwa ndie saa 8 masikini... jiwe alitakiwa nae awe ndani pamoja na genge lake la kikatiri ikiwezekana mwili wake ufukuliwe upelekwe lock up
Dikteta Jiwe alikuwa katili sana, jambo la kushukuru ni kwamba nayeye ni zilipendwa kwa sasa.
 
DSO ndio kazi yake kutoa taarifa za siri kuhusu mwenendo wa hao viongozi. Je huyo wa Hai alikuwa anapeleka taarifa juu ya uharamia wa huyo DC?
Si ndiyo maana leo kafikishwa mahakamani we unadhani uchunguzi na taarifa unaanzaga siku moja kabla mtuhumiwa kufikishwa mahakamani!!!! Taarifa zinaweza kuanza kupelekwa mwaka 2019 mtuhumiwa akapelekwa mahakamani 2022.
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
Hakuna ambacho mwendazake alikua hajui kuhusu sabaya, sema alishasema hapangiwi

Na alimuweka hai kwa kazi maalum ambayo aliifanya vizuri kwa wakati ule ila ika m cost kwa awamu hii.
Naamini hata mafungu alonyang"anya waligawana kiaina maana kama wafanyabiashara waliongea na waziri mkuu na kumpa vielelezo na PM akaahidi ku forward kwenye mamlaka ya uteuzi iliishia wapi.

Nasema sipangiwiiiiiii.

Kazi iendeleee

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Kamati ya Ulinzi na Usalama wilaya ya Hai ina maswali ya kujibu.
Walikuwa wapi wakati uharamia wote ukifanyika?
Ole hakufanya uharamia ktk eneo lake tu la kuongoza, alienda hata nje ya mipaka yake, mfano Arusha.
Nako kuna kamati za ulinzi na usalama, mkoa na wilaya, mbaya zaidi kamishna HAMDUN alikuwepo so yuko kilengeoni na mikono salama.

OCD nadhani walizidiwa kwa kumhofia mwendazake naamini walikua wanatoa taarifa kwa siri kwa mamlaka zao ndo kitakachowaokoa

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Si ndiyo maana leo kafikishwa mahakamani we unadhani uchunguzi na taarifa unaanzaga siku moja kabla mtuhumiwa kufikishwa mahakamani!!!! Taarifa zinaweza kuanza kupelekwa mwaka 2019 mtuhumiwa akapelekwa mahakamani 2022.
Kama hiyo ni kweli kuwa uchunguzi hufanywa na tarifa za watuhumiwa hupelekwa kwa wakuu kuchukua hatua,,afisa Ardhi wa Hai hawezi kuwa kazini!!!
 
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
hawa ma OCD, DED na DC trinity in the hell
 
wewe unasikia sabaya alikuwa anateka watu alafu unauliza kama magufuri hakuwa anajua.
Magufuri ndio muanzilishi wa ushenzi wa namna hii hapa nchini.

watu walikuwa wanatekwa nyakati za Nyerere, Mwinyi, Mkapa na Kikwete, lakini basi walikuwa wanapiga japo mikwara mbuzi, lile bwege lenyewe lilikuwa linashangilia kabisa
Bora Mungu katuondolea ile laana jiwe.
 
Back
Top Bottom