Bantugbro
JF-Expert Member
- Feb 22, 2009
- 4,473
- 4,252
Tanganya toto, hakuna kitu hapo....Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya
View attachment 1808499
Kwa yeyote mwenye kumjua mpambe mwingine aliyetumika kufanya uhalifu na Sabaya amuweke hapa ili tuisaidie serikali .