Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Kwa mwendazake, Sabaya alikuwa juu ya mama. Nashangaa hilo umeshindwa kuliona.

Mama alikuwa weak ndio maana Mpango alitumwa na Jiwe kwenda kuwasuluhisha; angetunisha misuli kwa mamlaka ya kuwa RC huyo jambazi asingesekohoa!!!
 
Kiongozi siku zote yuko sahihi. Wangefanya nini wakati mkuu wa kamati ya ulinzi na usalama, dc Sabaya ndie mharifu?

DSO ndio kazi yake kutoa taarifa za siri kuhusu mwenendo wa hao viongozi. Je huyo wa Hai alikuwa anapeleka taarifa juu ya uharamia wa huyo DC?
 
Mkubwa wa genge alikuwa ni dhalimu Magufuli sasa atakosaje kulijua genge la madhalimu wenzie? Mwenyezi Mungu fundi sana. Ahsante sana Mwenyezi Mungu kwa kuinusuru nchi yetu 🙏🏾 ingawaje hili genge la watu dhalimu bado limejaa tele Serikalini na maccm.

Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?...
 
Mama alikuwa weak ndio maana Mpango alitumwa na Jiwe kwenda kuwasuluhisha; angetunisha misuli kwa mamlaka ya kuwa RC huyo jambazi asingesekohoa!!!
Kwenye macho yako wewe na mwendazake, mama alikuwa weak na Sabaya alikuwa strong. Nakushangaa hujanielewa.
 
Kamati nzima ya ulinzi ya wilaya na ya mkoa yafaa iwajibishwe inakuaje yote yanatokea na wapo tu.Nani alimpa askari, magari, silaha nk Ili akafanye uhalifu.Hata wale askari wanaonekana kwenye ccctv nao wakamatwe
 
Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya

FB_IMG_1622797797557.jpg


Kwa yeyote mwenye kumjua mpambe mwingine aliyetumika kufanya uhalifu na Sabaya amuweke hapa ili tuisaidie serikali .
 
Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya...
Kwa kweli Rais Samia amewakumbusha wateule wake kuwa cheo ni dhamana.

Jambo ambalo lilisahaulika Sana chini ya utawala wa mwendazake, ambapo wateule hao waliamini kuwa JPM ndiyo dhamana yao kubwa!

Walisahau ule msemo maarufu hivi sasa unaosema "usimtegemee "sponsor", kwa kuwa ipo siku atakufa, mtegemee Mungu pekee"
 
Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya

View attachment 1808499

Kwa yeyote mwenye kumjua mpambe mwingine aliyetumika kufanya uhalifu na Sabaya amuweke hapa ili tuisaidie serikali .
Huyo Ole nini wenu tayari watu wameshamla huko Kisongo, mkimuona anakuja akiwa amechakaa mjue ni kipigo alicholeta kipindi akijifanya mbishi kuliwa
 
Huyu kijana ni miongoni mwa vijana kadhaa duni na masikini ambaye alikuwa kinara aliyetumika kwenye kila uchafu aliofanya Sabaya , akamatwe haraka na aunganishwe kwenye kesi ya Mfadhili wake Sabaya...
Huyu si ndo yule alionekana Hai akivuluga mikutano ya Mbowe , huku akimsifu mwendazake akiwa na kundi flani , au nimechanganya sura ,mkuu
 
Back
Top Bottom