Fredwash
JF-Expert Member
- Oct 27, 2009
- 1,400
- 2,010
Ni maswali tata sana mbayo tungependa kumuuliza Shujaa. Ni kweli hakujua kuwa mteule wako anatuhumiwa na kufadhili genge la kihalifu?.
-Kama alijua basi kuna haja ya wananchi Kufungua kesi dhidi ya Rais wa JMT aliyepita kwa kubariki kufanyika uhalifu dhidi ya binadamu kwa raia alioapa kuwalinda.
-Kama si kweli basi kuna haja ya watu wanaohusika na Intelijensia kwa viongozi ya usalama na vetting kuwajibika kuanzia TISS mpaka jeshi la polisi.
-Mpaka muda huu sidhani kama OCD wa hai anapaswa kuwa ofisini kwa hili suala la mkuu na swahiba wake.
-Tume ya maadili ya watumishi wa umma mmetukosea sana watanzania, KUWAJIBIKA NI MUHIMU SANA
View attachment 1808431
Kwa upande mmoja uko sahihi kumlaumu OCD kwa mantiki ya kuwa angeweza kuwa na Moral authority kuacha kaz kipindi kile .. narudia kuacha mwenyewe kazi kuonesha uwdilifu wa kiutendaj ili kupinga. vitendo hivyo vinavyosemwa vimefanywa na sabaya.
ila kama unamlaumu na kutaka awajibishwe sababu alifumbia macho hayo mambo basi kumbuka aidha kutokana na katiba yenu au sheria zenu ambazo ni za muundo wa de facto..
basi OCD simply anachukua amri kutoka kwa mkuu wa wilaya.. infact achilia mbali OCD hata huyo IGP utashangaa anachukua amri kwa mkuu wa wilaya sasa unategemea OCD amuwajibishe vip mtu ambaye sheria inasema ni Boss wake.
mkimbiwa kuna umuhimi wa kureview hizi sheria na katiba zenu ili kuleta uwiano katika accountability maana yake ni kuepuka mambo kama haya. hebu fikiri we kesho unaweza ukawekwa DC au RC automaticaly unapokea
salute na kuongoza kamati za kiusalama huku ukitoa amri kwa mtu ambaye yuko trained kusimamia sheria. a haki miaka yake yote.
yaan automaticaly mtu wa mtaani anapewa cheo cha kisiasa anapata nafasi ya kujua siri za kiusalama wa inchi. anapata access ya silaha yeye na watu wake.. tena ndo anakuwa na mamlaka kuliko hao ambao wamedidicate maisha yao kwenye mambo ya usalama..
dah ndo maana biashara haram haziwez kuisha had siasa itenganishwe na profesional ..