Genge la Kihalifu la Sabaya, ni kweli Hayati Magufuli hakulijua? OCD Hai unafanya nini kazini mpaka muda huu?

Kamati nzima ya ulinzi ya wilaya na ya mkoa yafaa iwajibishwe inakuaje yote yanatokea na wapo tu.Nani alimpa askari, magari, silaha nk Ili akafanye uhalifu.Hata wale askari wanaonekana kwenye ccctv nao wakamatwe
Alikuwa anavaa Hadi Sare za Polisi. Kijana alikuwa na nyodo Sana.
 
Hawezi pona huyo mbwiga ataingia kwenye 18 za wanaume
 
Magufuri alikuwa mtu katili sana hakuwa binadamu wa kawaida. Alikuwa akimtuma makonda kukamata watu na kuwapeleka ikulu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…