Geniveros interview on muosha rungu live show!

Geniveros interview on muosha rungu live show!

Niseme kweli mimi si mpitaji au mpenzi wa haya majukwaa tofauti na Siasa, GT, int forums etc, but leo ktk list ya new posts ktk app yangu nikaiona hii thread... awali niliipita pita lkn Kuna kitu kikanisukuma niifungue na nikajitahidi isoma mpaka mwisho.
Kwakweli ulimwengu wa mapenzi na ndoa kwa karne hii ni mgumu sana! Yataka moyo na kujitoa. Changamoto za leo ni nyingi kwakua maisha yamebadilika sana!

Pia hongera sana kwakua focused na mama mzuri. Nami nikuulize ka swali ka utafiti, vipi ikitokea (Siombei hivyo) chance ya pili pia ikapotea utakua tayari kujaribu ya tatu?
Mungu akubariki Binti mzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante

Naimani for the love of God hii ndo mwisho ikitokea imebounce sitaolewa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewakumbuka watu fulani fulani na maneno yao mbofu mbofu.
Teh tulitegemea utakuwa umefubaa sasa hivi, uso hauna nuru na mashavu yanachuma kunde, unaanzaje kuachika?. Sana sana ungeolewa na divorcee au mgane, ila kweli Mungu sio HS. Binamu ukijitahmini wewe binafsi na as long as Mungu anakuthamini, basi inatosha sana tu. Enjoy mama angu, Mungu azidi kukufanyia amani
Umenijibia my cuzoo
Ahsante binamu namuomba sana Mungu wanaume wana ubaguzi sana kuoa mwenye watoto kwao wanaona dhambi ila wao sisi tunawavumilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh tulitegemea utakuwa umefubaa sasa hivi, uso hauna nuru na mashavu yanachuma kunde, unaanzaje kuachika?. Sana sana ungeolewa na divorcee au mgane, ila kweli Mungu sio HS. Binamu ukijitahmini wewe binafsi na as long as Mungu anakuthamini, basi inatosha sana tu. Enjoy mama angu, Mungu azidi kukufanyia amani
Amen.
 
Usikute umeniwazia kwamba mm n jinsia KE


Anyway, watu wanachepuka sana, wanafanya wanayoona wao kwao nisahihi bila kuangalia madhara wanayoweza kuyapata wao kama wao, , hisia za mwenzie, familia na ndugu walioko nyuma yake, nilipokua kadogo nilikua nawaza kuoa mapema, akili yangu wakati huo ilidhan huu upuuz unafanywa na vijana walioko kwenye umri nilioko sasa hiv(foolish age) na waathiri wengi wa magonjwa ya zinaa na ukimwi wanayapata kwenye umri huo.. ndivyo akili yangu ilivyokua inawaza , kwa bahati nikabahatika kusoma medical school, nikiwa mafunzon kwa vitendo hospitals za hapa mjini ndio nilikuja gundua i was totally wrong kuhusu, huko ndoan ndio shida kubwa iko hko, kasheshe nying ndio ziliko lala, kwa kweli bila Mungu sidhan


Unaweza tulia zako, ila mwenzio akawa anadunda huko kama katenes kila mahali, hiyo inaweza isiwe case sana, n kasheshe n kwamba, hata kujilinda hajilindi, yanampata anakuletea na wewe, vitoto bado vidogo maskin wazazi mnaondoka, mtihan mkubwa sana
 
Hayo mambo nafikiri walishadiscuss wenyewe vizuri tu wakakubaliana. Plus geni anajua alipotoka, sidhani kama anaweza kufanya upumbavu wowote wa kuhatarisha ndoa yake. Afu kinachonipa matumaini ni kwamba geni ndo aliamua kumove out of that relationship. Ni hivi kuoa/kuolewa na single parent ni challenge kubwa especially kama mzazi mwenza wa kike hajamove on, ni tatizo kubwa sana. Ila kama mwanamke amemove on then hakuna threat kwenye ndoa yake au ya ex mumewe.

Najua huamini kuwa inakuwaje a fresh man, kwenda kuoa a single mom of 2, ila I guess kwenye interview umepata picha kuwa mume wa geni had a taste of paradise and lost it. She is still someone's dream woman. Angekuwa single dad ndo anataka kuoa, hata usingekuwa na doubts. Binamuuuu nakuaminia mama, Mungu awatangulie siku zote, can't wait kufinya ubweche. For every Future, there is a Russell.
Post murua, mwandiko umesimama wima kama siles za mikate ya Bakhresa, maneno kantu, walai unaweza nywea chai
 
Teh tulitegemea utakuwa umefubaa sasa hivi, uso hauna nuru na mashavu yanachuma kunde, unaanzaje kuachika?. Sana sana ungeolewa na divorcee au mgane, ila kweli Mungu sio HS. Binamu ukijitahmini wewe binafsi na as long as Mungu anakuthamini, basi inatosha sana tu. Enjoy mama angu, Mungu azidi kukufanyia amani
Huu uzi ni inspirational kwa single moms....waoaji wapo tu hawajali una mtoto au lah...ila kuna single moms wengine wako hot hata ukiwa na msimamo unnaweza kubadili.
 
Back
Top Bottom