Maserati
JF-Expert Member
- Jun 15, 2014
- 11,604
- 20,085
Sawa sawa.Majukumu mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa sawa.Majukumu mama.
NausubiriDivorced ila soon watakula mpunga tena [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbiti sio wote.... Ni wale wanaume wasiojali hisia za wengine... Yaani upungufu wa ubinadamu.mna jema kwan nyie (mxiew)
Gen hebu nikuulize nini ni best turn out yako katika sex?
DJ sepetu
Unazungumziaje kuachana kunaumiza!?
Unalia au kubembeleza!?
DJ sepetu
Honeymoon yk ya kwanza ilikuaje Na hii ijayo umepanga experience gani kufanya
DJ sepetu
Ukiambiwa hujipangi unashangaa!! Sasa interview gani isoisha, au unalala ukikumbuka kitu unauliza tena!!!Unazungumziaje wanawake watu wazima wanaotembea Na Serengeti boys!?
Kina hahya unaweza ishi nae?
DJ sepetu
Vizuri, one thing i like about you ni kuwa huwa unapokea challenges in a positive way. Safi sana mkuu. Fanyia kazi hayo marekebisho and utafanya vyema. Na uwe na utaratibu sasa, sio haujamaliza moja usharukia lingine!!!Nimekuelewa sasa hivi nitakuwa naandaa maswali yangu
DJ sepetu
Poa my lovelyVizuri, one thing i like about you ni kuwa huwa unapokea challenges in a positive way. Safi sana mkuu. Fanyia kazi hayo marekebisho and utafanya vyema. Na uwe na utaratibu sasa, sio haujamaliza moja usharukia lingine!!!
Nimependa ulivyoweka hiyo avatarVizuri, one thing i like about you ni kuwa huwa unapokea challenges in a positive way. Safi sana mkuu. Fanyia kazi hayo marekebisho and utafanya vyema. Na uwe na utaratibu sasa, sio haujamaliza moja usharukia lingine!!!
Hahahaaa! Unaipenda eeh?Nimependa ulivyoweka hiyo avatar
DJ sepetu