GENTAMYCINE atafutiwe Mtaalam wa Tiba ya Kisaikolojia, mafanikio ya Yanga yanaweza kuhatarisha afya yake

GENTAMYCINE atafutiwe Mtaalam wa Tiba ya Kisaikolojia, mafanikio ya Yanga yanaweza kuhatarisha afya yake

Kwa Malipo anayonilipa Mama yako kwa Kumfurahisha nikiwa nae Kijiografia ni Ajira tosha Kwangu.
Ndio akili Yako ilipoishia,ndo unazidi ku-demonstrate mental stress uliyonayo na kushinda JF kutafuta relief, pathetic
 
Sasa kama Mama yako ananilipa Ujira wangu kwa kuwa nae Karibu Kijiografia na Kufurahi sana nitakuwaje tena sina Ajira?

Pumbavu.
At your age,bado unaona abusive language zitakusaidia kushinda argument,pole sana! Naona frustration zimekufanya kuwa psychiatric,pole! tutakusaidia tiba ya kisaikolojia Kwa ustaarabu kabisa
 
Huyu Genta tatizo kubwa linalomsumbua ni u-jobless.Atakayemsaidia kupata kazi au mtaji wa biashara ndio itakuwa tiba yake make tangia atoke shule SAUT yupo anazurura tu ,hivyo JF ndio sehemu yake ya kupumulia ,kutwa kucha kuleta thread zisizo na tija
Jamaa mbona mara kwa mara wanamuona kwenye ofisi za TISS au anaenda kutembelea washkaji tu?
 
At your age,bado unaona abusive language zitakusaidia kushinda argument,pole sana! Naona frustration zimekufanya kuwa psychiatric,pole! tutakusaidia tiba ya kisaikolojia Kwa ustaarabu kabisa
Hiyo Tiba ya Kisaikolojia anza Kwanza kumpa Mama yako aliyetuletea Taahira Wewe sawa?

Kuhusu Ajira naendelea Kusisitiza Kwako kuwa Ujira mzuri anaonipa Mama yako kwa kumpa Furaha ni zaidi hata ya Mshahara ambao ningepata katika Ofisi ambayo ningeajjriwa.

Hongera kwa kuwa na Ajira hiyo nzuri ya Kuwekwa ambayo inakupa Jeuri. Ni kheri nisiwe na Ajira kabisa kuliko kuwa na kama yako hiyo ya Kuwekwa.
 
Ndio akili Yako ilipoishia,ndo unazidi ku-demonstrate mental stress uliyonayo na kushinda JF kutafuta relief, pathetic
Kwahiyo unachukia Mimi Kushinda hapa JamiiForums ina maana ulitaka niwe nashinda 'Nakuweka' tu ndiyo Uridhike?

Umesema sina Ajira ( Jobless ) naomba kujua Pesa ya Kula, kula Bata, Kutia Mademu na kuwa na Uwezo wa Kununua Bando la Internet huwa naitoa wapi?

Mwisho nakusihi tu endelea kutumia zile ID'z zako kwani hii tayari nimeshakujua na nafurahi kuona GENTAMYCINE ninavyotisha hadi unaamua kuja na ID's zako nyingine Kupambana nami lakini bado nakumudu Kudadadeki.

Mimi ndiyo GENTAMYCINE The Great!!!
 
Kwanza kabisa nimpongeze Gentamycine kwa kuwa shabiki wa mpira zaidi kuliko shabiki wa timu, Ni mtu ambae Timu yake ikicheza hovyo hawezi kumezwa na ushabiki kuipamba, hata kwa haya mafanikio ya Yanga huwa hasiti kukubali kwamba Yanga wapo mbele kitu ambacho ni nadra kwa shabiki wa Simba, Lakini hii haimaanishi anafurahishwa na maendeleo ya Yanga, NO! Hutumia hali ya Yanga kuwakumbusha Simba kwamba wawe serious, wasibweteke, wasajili wachezaji wazuri, n.k ili wao Simba wawe mbele kuzidi Yanga.

Sasa tukija katika upande wa ushabiki wake wa Simba, hapa sasa ndipo Imeshakuwa kawaida kukuta nyuzi zake hata tatu kwa siku humu ndani zikiashiria maumivu ayapatayo kwa Yanga kuendelea ubabe wa ligi.

Kwa hali hii kiutani utani tunaweza kumpoteza mwana JF mwenzetu.

Nashauri akae mbali sana na mambo ya mpira.
Acha ujinga huyo siyo Simba
 
Back
Top Bottom