Gentamycine kwa wewe ni mnyarwanda kweli hebu tuambie nini maana ya maneno haya


[emoji3][emoji3][emoji3] ni mzee Mshama sio Mshamu.
 
He is not alone .....usijisumbue na huyo genta huu ni mwezi mchanga usishangae akikuuliza ni swali gani ilo ?? Mbona ajaliona kwenye huu Uzi .[emoji4] [emoji4]

Hongera kwa kuwa ' Msemaji ' wangu namba mbili hapa JamiiForums kwani tayari kuna mwenzako mwingine nae amejitolea kufanya Kazi hiyo hiyo. Akhsante sana Mwenyezi Mungu kwa kunifanya GENTAMYCINE niwe kweli ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer '.
 
Sijawahi kukutana na Swali la ' Kipumbavu ' na lililotoka kwa ' Mpumbavu ' anayewakilisha Familia na Koo ya ' Kipumbavu ' na aliyezaliwa ' Upumbavuni ' kama hili tokea nizaliwe na niwe na ufahamu.
Kwa jinsi ya maelezo yako inaonyesha mseveni alimaanisha wewe ni mtanzania ndiyo inawezekana maneno hayo akamwambia hata asiye mtz ila ukiichunguza utagundua yalikuwa yanakuusisha wewe na utanzania by using logic
 
vipi,yule demu ulifanikiwa kumpa mimba akuzalie Gentamycine Jr?
 
Kwa jinsi ya maelezo yako inaonyesha mseveni alimaanisha wewe ni mtanzania ndiyo inawezekana maneno hayo akamwambia hata asiye mtz ila ukiichunguza utagundua yalikuwa yanakuusisha wewe na utanzania by using logic

Naona bado unaendelea ' Kututhibitishia ' Upopoma / Upumbavu wako uliorithishwa na waliokuleta duniani. Pole sana!
 
Genta unaidhalilisha Avatar hiyo

Mwenye hiyo Avatar Israel na ' Middle East ' nzima anajulikana kwamba ni ' Warlord ' na Waisraeli kila mara wanamchagua wakijua kuwa atawapa ' dozi ' kisawasawa Waarabu ( hasa Wapalestina ) na wale wengine watakaojipendekeza na ' maslahi ' ya ' Taifa Teule ' la Israel je unaposema naidhalilisha una maanisha nini labda?

Hata hivyo bado hujachelewa unaweza kunipa Nyago / Picha ya Dada yako ili niiweke hapo kama ' Avatar ' yangu mpya.
 
vipi,yule demu ulifanikiwa kumpa mimba akuzalie Gentamycine Jr?

Ngoja nimalizane Kwanza na hawa ' Wapumbavu ' walionichokoza tokea jana na kuiamsha ' mizimu ' yangu ' tukuka ' ya Kizanaki, Kitutsi, Kimakuwa na Kiyao kisha nitarudi huko ambako unataka nielekee ila unaweza pia kwa muda huu ukaanza kumuandaa Dada yako ili nae nije ' nimpachike ' Mimba kusudi angalau basi katika Familia yako kuwe na ' damu ' ya GENTAMYCINE ili Ukoo wenu mzima muweze Kuringa na Kutamba.
 

Lakini hujajibu swali ...watu wanakusanifu tu na mapovu yako......hakuna mjukuu wa Nyerere aliyelelewa na Museveni au aliye Mnyarwanda
 
Ye mwamba, kwani ndagutuse? Kuki untukaguye ukwinganintyo?
 

Watu wafupi mnamatatizo sana.....unanikumbusha mikwara ya utotoni nikiwa darasa la tatu B
 
Hapa naona umeamua kudhihirisha mbele ya uma how kilaza you are
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…