Gentamycine kwa wewe ni mnyarwanda kweli hebu tuambie nini maana ya maneno haya

Hahahahaha huyo sio wa rwanda bali ni mtu anaetoka mikoa inayopakana na rwanda pia mikoa ambayo kuna muingiliano wa tamaduni zote mfano mtu wa kibondo,kasulu,buhigwe,ngara ni watu wenye tamaduni sawa na lugha inayotumika wote huelewana ..sema kapata cheo lumumba baada ya kufuzu mafunzo ya kutengeneza uongo na propaganda zikakubalika kwa watu ambapo wazee wa lumumba hufurahia kazi yake (mdanyi mwenye uwezo mkubwa)
 
Gwajima anasema Akikusemesha Msemeshe maana chuma hunoa chuma
 

Utaendelea ' Kubahatisha ' sana na kusumbuka mno nami ila hakuna ambacho mtakipata sana sana ndiyo mnanifanya nizidi tu ' Kuwadharau ' Waswahili wachache nyie.
 
Na bahati mbaya Mtu mwenyewe wanayesumbuka nae kumfuatilia ni GENTAMYCINE sijui hawakujipanga wakati ' wanawashwawashwa ' nami.
Ila ni vizuri kujibu swali la mleta Uzi alikuwa ana kaswali kazuri tulitegemea ung'eitumia fursa hii kututoa shaka sisi na muuliza swali ila nashang'aa unatoka povu sijui kama umesha lijibu swali lake [emoji15]
 
Genta mi nimekuja nataka kujua tu maana ya hilo neno alilosema Mtoa mada

Najua wewe ni mtaalamu 'kuntu' hilo neno halikushindi kulifasiri
 
Gwajima anasema Akikusemesha Msemeshe maana chuma hunoa chuma

Na upande huo wamenikuta nipo vyema / vizuri halafu pia ni ' Jambo ' ambalo nalipenda na ninaliweza sana kama siyo mno tu. Kuna Watu hii JF ' Brand ID ' yangu inawatesa na inawakereketa kiasi kwamba nahisi siku wakija kunijua wanaweza hata wakani ' PitaZakaria / Wakanipiga Risasi ' ili waniue. Unaweka kabisa ' Bundle ' yako kuja kutaka Kumchokoza au Kumjua GENTAMYCINE ambaye hufaidiki nae kwa lolote / chochote hivi ukiambiwa Wewe ni ' Popoma / Pumbavu ' utakataa au kukasirika?

Walilia Wembe sasa nimewapa na naamini mpaka sasa umeshawakata mno na wakiendelea ' Kushoboka ' nami nitayaongeza ' makali ' ya Wembe wangu ili uwakate zaidi kiasi kwamba hata wakienda ' Kutibiwa ' Madaktari washindwe Kuwatibu kwa Kuwashona na Kifo kiwakaribishe.
 
Utaendelea ' Kubahatisha ' sana na kusumbuka mno nami ila hakuna ambacho mtakipata sana sana ndiyo mnanifanya nizidi tu ' Kuwadharau ' Waswahili wachache nyie.
Kwaiyo hata museveni alikuwa ajui wewe ni MTU wa wapi maana umesema alikuambia anawapenda wa tz na uwe na tabia kama za nyerere
 
Genta mi nimekuja nataka kujua tu maana ya hilo neno alilosema Mtoa mada

Najua wewe ni mtaalamu 'kuntu' hilo neno halikushindi kulifasiri

Neno gani hilo? Sijaliona na kama unalijua nawe unaweza tu ukaliweka hapa ili ninapomjibu na hilo jibu likuhusishe na Wewe pia tafadhali.
 
Kwaiyo hata museveni alikuwa ajui wewe ni MTU wa wapi maana umesema alikuambia anawapenda wa tz na uwe na tabia kama za nyerere

Sijawahi kukutana na Swali la ' Kipumbavu ' na lililotoka kwa ' Mpumbavu ' anayewakilisha Familia na Koo ya ' Kipumbavu ' na aliyezaliwa ' Upumbavuni ' kama hili tokea nizaliwe na niwe na ufahamu.
 
Hahahahahaha genta werereeeee unanikonga sana nyoyoo
 
Genta mi nimekuja nataka kujua tu maana ya hilo neno alilosema Mtoa mada

Najua wewe ni mtaalamu 'kuntu' hilo neno halikushindi kulifasiri
He is not alone .....usijisumbue na huyo genta huu ni mwezi mchanga usishangae akikuuliza ni swali gani ilo ?? Mbona ajaliona kwenye huu Uzi .[emoji4] [emoji4]
 
Ahahahhahahahahahahahh
 
Sijawahi kukutana na Swali la ' Kipumbavu ' na lililotoka kwa ' Mpumbavu ' anayewakilisha Familia na Koo ya ' Kipumbavu ' na aliyezaliwa ' Upumbavuni ' kama hili tokea nizaliwe na niwe na ufahamu.
Jibu swali mkuu....hoja kwa hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…