Gentleman. . .

Gentleman. . .

"Jolene, Jolene, Jolene, please don't take my man just because u can ". . .
Hahaha. . . QK mbona dedication ina utata hiii!!?

hapana dearest wangu,usipate utata,
mim nilimaanisha hapa;


Your beauty is beyond compare
With flaming locks of afro hair
With bronze skin and eyes of emerald green
Your smile is like a breath of spring
Your voice is soft like summer rain
 
Hahahaha. . . .
Sasa Mr. LG mbona umebadilika? Ungekuja kawaida kila mtu ajue ni wewe bana. Au huoni raha nilivyofunguka juu yako?

...lol...hata mimi ningekuja hivyo,...afunguke umpige kibuti hadharani? usicheze na Lizzy bana...hahahaha..
 
Sijakusoma vizuri hapo....ni kwamba unasifia ama unaua?

Bado sijajua kama niendelee kusifia au niue, nampa muda kidogo wa kuprove kwamba yeye ni gentleman kweli na sio anaigiza kama Kanumba.
 
Bado sijajua kama niendelee kusifia au niue, nampa muda kidogo wa kuprove kwamba yeye ni gentleman kweli na sio anaigiza kama Kanumba.

Sasa kwa nini wewe hukumtaja akajijua na ukaondoa utata uliopo? Wewe umesema ni 'gentleman'. Hana jina kwani?
 
hapana dearest wangu,usipate utata,
mim nilimaanisha hapa;


Your beauty is beyond compare
With flaming locks of afro hair
With bronze skin and eyes of emerald green
Your smile is like a breath of spring
Your voice is soft like summer rain

Hahahaah ahsante dearest.
Niliogopa nisije nikawa nimevamia makao makuu.
 

...lol...hata mimi ningekuja hivyo,...afunguke umpige kibuti hadharani? usicheze na Lizzy bana...hahahaha..

Sasa Mbu ndio nini hivyo?
Badala ya kumshawishi aonyeshe uanaune wake unamsapoti kujificha? Sawa bana, leo ndio mwisho wa Lizzy kufunguka aisee.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Bado sijajua kama niendelee kusifia au niue, nampa muda kidogo wa kuprove kwamba yeye ni gentleman kweli na sio anaigiza kama Kanumba.

....mnh, hapo chacha!...
:A S-coffee:
 
I was there for you
Ila mmoja mwenye kubahatisha katokea kanichukua mazima
So sorry someone out there is waiting for you
Just pray and you will see him coming to you.
 
Sasa kwa nini wewe hukumtaja akajijua na ukaondoa utata uliopo? Wewe umesema ni 'gentleman'. Hana jina kwani?

Kwanini nimtaje wakati sifa zake zinamtambulisha?
Nilitaka kuona kama ni jasiri pia niongezee pale juu strength and bravery. . .
 
I was there for you
Ila mmoja mwenye kubahatisha katokea kanichukua mazima
So sorry someone out there is waiting for you
Just pray and you will see him coming to you.

Hahaha. . .
Mr Rocky lini ulikuwepo kwaajili yangu?
 
Back
Top Bottom