Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. . .
Mr Rocky lini ulikuwepo kwaajili yangu?
Weee mi sina bass bana. . . nna sauti nyororo kama chiriku.Lolzz
hehehehe haya tuachane na kujitutumia, are you or are you not?
Ndiyo... mimi ndiye kwani we hujui jamani??
Ukisikia nimekufa ghafla leo ujue hiyo sentensi yako ndio imeniua... Iam sure you know what i mean.Sweetlady I hate you today. Just today! Lol
Sasa Mbu ndio nini hivyo?
Badala ya kumshawishi aonyeshe uanaune wake unamsapoti kujificha? Sawa bana, leo ndio mwisho wa Lizzy kufunguka aisee.
Nakusaidia kufunguka bana....nambie kama nimepatia.Nyie nanyi tulieni. . .
...unajua sie tulozoea mambo ya St Peter's Basilica...huwa hatuna papara,
Tunasubiria moshi mweupe ufuke tuanze kusherehekea...
Hizi papara za kujitaja unaweza kukurupushwa na masizi usoni!
Hahahaha. . . Mbu sikuwezi.
Nimegundua wanaoendana na sifa wanaweza wakawa wengi zaidi ya niliyekua namfikiria. Itabidi siku moja nimtaje.
Sweetlady I hate you today. Just today! Lol
Hhhm. . . yani mpaka uboost engine? Ikinizimikia katikati ya safari?
Hujamtaja bado...ungejua nilivyojiandaa kupiga vigele gele!..Kufunguka mbona tayari SL. . . nikifunguka zaidi ya hapa naweza nikasababisha chitichati ikafungwa kwa muda.
Hahahaha. . . Mbu sikuwezi.
Nimegundua wanaoendana na sifa wanaweza wakawa wengi zaidi ya niliyekua namfikiria. Itabidi siku moja nimtaje.
Natamani kuwe na wakaka wanaofanana na huyu in the real world
Punguza ukabaji bana....unakaba sana leo
Hujamtaja bado...ungejua nilivyojiandaa kupiga vigele gele!..