sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,419
Mimi pia najitolea kupeleka jibu lake kutoka kwa Gentlemam..taja tu
ukipotea ntamtuma AD akuletee jibu lake.
Its not a crime bwana.
Unanrushaje roho
nshajaa mate kama mjamzito kaona ndimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi pia najitolea kupeleka jibu lake kutoka kwa Gentlemam..taja tu
ukipotea ntamtuma AD akuletee jibu lake.
Its not a crime bwana.
Unanrushaje roho
nshajaa mate kama mjamzito kaona ndimu
Mie nshachora mstari...Umeanza lini maneno ya Zinduna?
Hebu taja
Nshasema 'suuuuu'
Hehehehe wala asiniletee maana sitaki kulia mie nshakua mtu mzima.
sijaelewa hapa 'UNCOMPROMISING'
yaani hapo hapo
ungepaelewa hapo tu lol
Hmmmm.....
yaani bwana
eti najijua
ila naogopa
sijui naogopa nini
on his behafu 'he does'
Mie nimeweka maji bafuni toka sa tisa, nasubiri ataje nkaoge, ole wake asimtaje, atanipashia maji mengine...am starting to hate you
taja bwana
nna shampeni mkononi
nasubiri kufanya chiazi
Ni nani huyo?yaani bwana
eti najijua
ila naogopa
sijui naogopa nini
on his behafu 'he does'
Who is he?
Ni nani huyo?
AJ soon is not good, I'd rather it be later.
Mie nimeweka maji bafuni toka sa tisa, nasubiri ataje nkaoge, ole wake asimtaje, atanipashia maji mengine...
ha ha a a
God forbid..
Kiranga ana sifa zinazofanana na za Nyani Ngabu?.. Simjui vizuri.Mi nahisi ni Kiranga
Kiranga ana sifa zinazofanana na za Nyani Ngabu?.. Simjui vizuri.
Akipenda hata za mgomba atumie lol.tena atayapasha kwa kuni za mwachachi au mvule
Hapo kwenye 'uncompromising' hapo. Yaani ukipajua hapo tayari....kitu na boksi.
Wallah tena atakuwa Kiranga huyo.