Gentleman. . .

Gentleman. . .

Naogopa usije ukakuta ana wachumba wengi humu nikashambuliwa au mwenyewe akanitoa nishai.
Hao wengi mbona hawajamtaja....mtaje ukishambuliwa mie na kongosho tutakuwa upande wako kujibu mashambulizi..
 

...lol...be careful what you wish for, kuna maneno umeandika;


...hayapo kwenye katiba ya mahusiano, mapenzi na urafiki...
baadae bana...i hope nikirudi nitakusoma uliyemvisha crown!

Hahaha inabidi nikasherehekee kwa kupata nilichotamani.

Baadae Mbu, be good.
 
Mi nataka aseme tu mwenyewe
'Lizzy, I do'

waone ntakavyopiga magelegele
Haya nikiwatajia napotea humu mwezi maana naogopa kusikia jibu lake. . . .kwahiyo amueni kama niwatajie alafu nikimbie au nipotezee.
 
na kama walinzi ajue kapata
tena mie, napenda mdada akifunguka
kisa cha kufa na shinikizo la moyo usiku, inahu!

lizzy, mtaje tu.
Naona mikono yake inatoka jasho
kashindwa kuandika anayoyawaza

Hao wengi mbona hawajamtaja....mtaje ukishambuliwa mie na kongosho tutakuwa upande wako kujibu mashambulizi..
 
taja tu
ukipotea ntamtuma AD akuletee jibu lake.

Its not a crime bwana.
Unanrushaje roho
nshajaa mate kama mjamzito kaona ndimu

Haya nikiwatajia napotea humu mwezi maana naogopa kusikia jibu lake. . . .kwahiyo amueni kama niwatajie alafu nikimbie au nipotezee.
 
na kama walinzi ajue kapata
tena mie, napenda mdada akifunguka
kisa cha kufa na shinikizo la moyo usiku, inahu!

lizzy, mtaje tu.
Naona mikono yake inatoka jasho
kashindwa kuandika anayoyawaza
Ha ha ha! Sipati picha angekuwa bustanini, angechuma majani yote leo..lol
 
taja tu
ukipotea ntamtuma AD akuletee jibu lake.

Its not a crime bwana.
Unanrushaje roho
nshajaa mate kama mjamzito kaona ndimu

Hehehehe wala asiniletee maana sitaki kulia mie nshakua mtu mzima.
 
Back
Top Bottom