Nimeshaona hawezi, atakua anafungukaga bila nukta PM alafu mi huku nadhani katulia. What a waste!!!
"Jolene, Jolene, Jolene, please don't take my man just because u can ". . .
Hahaha. . . QK mbona dedication ina utata hiii!!?
Hahahaha. . . .
Sasa Mr. LG mbona umebadilika? Ungekuja kawaida kila mtu ajue ni wewe bana. Au huoni raha nilivyofunguka juu yako?
The Boss hapana! Umemsahau anashabikia nyumba ndogo? Huchomoki asee!Mbona wengi tu wanazo hizo sifa akiwamo Boss
The Boss hapana! Umemsahau anashabikia nyumba ndogo? Huchomoki asee!
The Boss hapana! Umemsahau anashabikia nyumba ndogo? Huchomoki asee!
Bado sijajua kama niendelee kusifia au niue, nampa muda kidogo wa kuprove kwamba yeye ni gentleman kweli na sio anaigiza kama Kanumba.
hapana dearest wangu,usipate utata,
mim nilimaanisha hapa;
Your beauty is beyond compare
With flaming locks of afro hair
With bronze skin and eyes of emerald green
Your smile is like a breath of spring
Your voice is soft like summer rain
...lol...hata mimi ningekuja hivyo,...afunguke umpige kibuti hadharani? usicheze na Lizzy bana...hahahaha..
Bado sijajua kama niendelee kusifia au niue, nampa muda kidogo wa kuprove kwamba yeye ni gentleman kweli na sio anaigiza kama Kanumba.
Sasa kwa nini wewe hukumtaja akajijua na ukaondoa utata uliopo? Wewe umesema ni 'gentleman'. Hana jina kwani?
Kwa yeyote aliyezoea kudanganywa hawezi kukupenda NN!..Ladies like you Boss....I wish I was like you!
Kwa yeyote aliyezoea kudanganywa hawezi kukupenda NN!..
Sasa kwa nini wewe hukumtaja akajijua na ukaondoa utata uliopo? Wewe umesema ni 'gentleman'. Hana jina kwani?
Ooh! Very sorry Gentleman!halafu wewe acha kuchafua cv hapa...lol