Mmh.....sina hakika kama atakuzidi wewe bana!Aaaah huyo jamaa kiboko bana. Uliza utapatiwa sifa zake.
Hehehe! Wapi Nyani Ngabu jamani?Haya jamani tulieni mnisikize. . . .
Jina lake liko hivi. . .
N ice
. . . .
. . . . .
. . . .
I dealistic
. . . . .
. . . . .
A ppealing
. . . . .
Urbane
Haya kwaherini ya kuonana.
Haya jamani tulieni mnisikize. . . .
Jina lake liko hivi. . .
N ice
. . Y. .
. . A. . .
. . N. .
I dealistic
. . .N . .
. . G. . .
A ppealing
. . B. . .
Urbane
Haya kwaherini ya kuonana.
Hehehe! Wapi Nyani Ngabu jamani?
NN kapata ugonjwa wa moyo kwa kutoamini hapo
Sema chochote bana! Umeyaamini maneno yangu? Nakudai vile umenichukia bure!.Nami nasema kwaheri ya kuonana.
Nami nasema kwaheri ya kuonana.
Mie ntakuwa shahidi asee, fanya upesi...kaenda kutafuta a lawyer lol
naanda kesi ya madai lol
Bado nasubiri kuombwa msamaha!
Wewe na kiranga..nataka kujua tunaoenda mahakamani tuko wangapi????????lol
nataka kujua tunaoenda mahakamani tuko wangapi????????lol