Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafsiri iende kwa PM lol
What hhmm?
BJ, ulishawahi ogopa kumpoteza mtu hata kabla hujampata?
Ndo ivo.
Kwa nini? Mbona Lizzy kafunguka hadharani?Tafsiri iende kwa PM lol
yaani unaonekana umesema from your own experience
Vile umepiga vigele gele hata usipotafsiri inatosha...lol
. . . . . . . . ?
Usiponitafsiria kila kitu sasa hivi nakunyang'anya shea kwenye "Sikujui. . . "..
I wish niyaweke kidhungu
ni maneno mazito sana
nipepeeni jamani hadi yanamwangusha dada wa leo tu.
Ha ha ha! Nimeshika ungo hapa, nakupepea kwa raha zangu!I wish niyaweke kidhungu
ni maneno mazito sana
nipepeeni jamani hadi yanamwangusha dada wa leo tu.
Yani wewe ndio umkubalie?
Sindo mwanzo wa madongo ya "hata sikukutaka" huo?